Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Inategemea mkuu labda wameona kuna kila dalili zitawatokea puani..Hiyo ni ndoto maana kila siku wanalipwa 120000 nje na mishahara yao mpaka kesi itakapo isha baada ya miaka 3, huo ni mgodi unaotembea mkuu
Huyo mganga wako kakuibiaMawakili wa Serikali waliomba muda Zaidi kuandaa Maelezo yao ya maandishi kwani Mh. Jaji mwenyewe alikuwa tayari kutoa uamuzi wake kesho. Baadhi ya waliowasikia Wanasheria wa Serikali walivyotoka jana wanadai kuwa iwapo uamuzi utatoka kuonesha Mtuhumiwa Ling'wenya aliteswa basi Serikali itaendelea kuumbuka.
Kutokana na hali ilivyo na kwa dalili walizoziona kwenye kesi ndogo iliyokamilika kusikilizwa jana wameshauriana wawasilishe ombi la "Nolle" ili kesi isiendelee na watafute namna ingine ya kujisafisha.
Jana hiyo Mawakili wa Serikali walikuwa desparate sana wakiona kuwa wamepewa kesi ambayo imeanza kuwachafua katika jamii yetu. Walisikika wakimwomba Kiongozi wao Kidando aakutanishe kwa DPP kujadili hilo.
Lakini chama chenu kinacho jinasibu ni cha wakulima na wafanyakazi wakiona haya yanayotendeka wanafurahi sana ehhhh......👂👂👂👂👂
Huyo mganga wako kakuibia
siyo rahisi haya maharamiaInategemea mkuu labda wameona kuna kila dalili zitawatokea puani..
Cc mama DMimi nataka hii kesi iendelee hivi hivi twende hadi Mahakama ya Rufaa ili hawa washenzi wazidi kuumbuka
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Katiba si kwa sjili ya ya watz wote, wspo wanaofaidi hali hii kwao katiba mpya utakuwa mwiba, tupo tunaohitaji katiba mpya ili itulinde kuyokana na manyanyaso, hapo ndipo mfarakano unapoanzia.kwani wewe na wao ndyo mawakili mnaoendesha kesi. Hata wewe ulichoandika unakijua uhalisia wake. Au wewe Ni DPP.
Watu wanzungunza sheria. Hakuna mahali utetezi umeomba kesi ifutwe . Watu wanatafsiri kile kinachoendelea mhakamani kiwe Cha haki au dhulma kulingana na kesi ilivyo.
Btw katiba ni kwa ajili ya nani km si kwa ajili ya watz wote mm na wewe .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdogomdogo blaza...
Hii kesi itatupa vingi...
Mathalani hivi sasa nishakuwa wakili mzuri kuliko mawakili wote wa serikali...
Nasubiria Komandoo Urio apandishwe kizimbani ili ni-graduate kabisa
Abeee
INAUMIZA HUKU TUNAKATWA MATOZO KWENYE MIAMALA, TUNAKOPA DENI LA NCHI LINAONGEZEKA KWA KUKOPAKOPA KILA LEO,DENI SASA KWENDA MATRILIONI.....PESA ZINYEWE MAENDELEO KIDOGO ILA KWENYE VITUKO NDIO BALAA.....HALAFU KIKUNDI VIKUNDI FULANI VINAKULA PESA ZA WANANCHI KWA JEURI NA BASHASHA NYINGI NA WATAWALA WANAIDHINISHA KUONA WATANZANIA WAJINGA....WAO NDIO WENYEWEWao kazi yao ni kupiga pesa wala hakuna mtu anatetea maslahi ya nchi ni maigizo tupu
Lakini chama chenu kinacho jinasibu ni cha wakulima na wafanyakazi wakiona haya yanayotendeka wanafurahi sana ehhhh......
Nchi hiii ukiwa mpinzani basi unapoteza haki zako zote ikiwemo haki ya kuishi, haki ya kujumuika, haki ya kuandamana etc
Tatizo la nchi yetu ni matumizi makubwa ya watawala na siyo kingineINAUMIZA HUKU TUNAKATWA MATOZO KWENYE MIAMALA, TUNAKOPA DENI LA NCHI LINAONGEZEKA KWA KUKOPAKOPA KILA LEO,DENI SASA KWENDA MATRILIONI.....PESA ZINYEWE MAENDELEO KIDOGO ILA KWENYE VITUKO NDIO BALAA.....HALAFU KIKUNDI VIKUNDI FULANI VINAKULA PESA ZA WANANCHI KWA JEURI NA BASHASHA NYINGI NA WATAWALA WANAIDHINISHA KUONA WATANZANIA WAJINGA....WAO NDIO WENYEWE
Hakika umenena ukweli wako ulio moyoni mwako. Kuna watu wameshikilia habari za kwamba Mbowe ni gaidi. Ngoja tuone mafuta yakijitenga na maji.Mimi sio mwanasiasa na sio mwanachama wa chama chochote cha siasa, ila nina imani yangu binafsi kwenye mambo yahusuyo nchi yangu kwa kwa ujumla wake
Chama kina wenyewe ila serikali ni ya kwetu sote Bujibuji Simba Nyanaume na serikali inaongozwa na chama kilichoshika dola
Kama CCM waliavyomvua Lowasa gamba akavaa gwanda kama kuna konakona kwenye hiyo kesi kuna watu wanaenda kuvuliwa gamba soon
Cc Ng'wale
Umeanza kuuona ukweli.Abeee
Haifutwi mkuu subiri Gaidi Mbowe aendelee kunyea debe!Hawa makomandoo wa JWTZ wameteswa sana aisee, mateso makali kudhalilishaji wa ubinadamu wao, hata JWTZ wenzao wasifurahie kitendo hiki kabisa kabisa.
Hii kesi ifutwe tu, maana inaleta simanzi kubwa miongoni mwa watanzania.
Minong'ono ya Mawakili wa Serikali walipotoka Mahakamani jana!Source tafadhali
Ulikuwa nao!Hakuna wakili wa serikali aliyetamka hayo maneno..