Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

One attack should lead to the better ways of controlling and handling such scenes. I mean with the WG incident, the pros would have learnt how to handle such issues.. studying all the blueprints of complex buildings in town.. I mean they know better.. and this would have been a smaller case.

Tactically it takes 4 hours to sweep clean and secure such building.. with an appropriate task force..

Mungu awatie nguvu na maarifa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ndo anaamka toka usingini akaona hiyo habari akawahi kuipost humu ili awe Wa kwanza kuileta
 
Kuna video yake ilionyeshwa subiri nikiipata nitaileta. Asili ya kiarabu...
Dawa ya shetani kama ilo nikulitesa tu mpk litaje baadhi ya siri zao na likigoma unabinya mapumbu wee hali yake ikiwa mbaya unalitibu likikaribia kupona unalianzishia tena yan unahakikisha hafi mpk umelisulubisha na umepata chochote kitu kutoka kwake.Tena unaruka nae kimya kimya hakuna watu kujua maana wanatokeaga human right watch wanajikuta wanaleta upuuzi wa haki za binadamu.
 
Kazi kazini kutafuta bikra 70 na nguvu za kukaza 40 ktk hao kwa siku moja!!!

Inafurahisha sana japo inahuzunisha maana njia hii inayotumika ni mbaya sana ila ndo hivyo watu wameshaaminishwa na mitume wao ni kutekeleza tu.

Nawapa pole sana ndugu zangu Wakenya kwa mikasa hii mibaya inayowakumba.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Poleni sana watani zetu. Hivi ule ukuta mliojenga katika mpaka wa Somalia haujamalizika?, au ndio yale yale ya "Nothing works in a failed state".

Sent using Jamii Forums mobile app
Buying a rat snare does not guarantee 100% immune. Others will surely infiltrate, don't pretend that you dodn't know that, do you?...
 
Ungemfanya nini kikubwa zaidi ya kumuua? Ambacho ameaminishwa ni haki yake na lazima akipate?

Kenyans wazee poleni natumaini hii ni wake up call kwa jirani zenu Tz na Ug.
 
Walinzi wa Hoteli walikuwa wapi Muda wa tukio?


Sent from my iPad using JamiiForums
Boss kazi ya mlinzi ni kutambua na kuripoti siyo kupambana kuna watu spesho wa kupambana, askari na wanajeshi.
Walinzi watatambua tatizo na kuripoti kwa askari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…