KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
we learn from mistakesMsije mkawa mmekamatana wenyewe kwa wenyewe humo ndani maana kunavikosi mchanganyiko kama kachumbali ya kihindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we learn from mistakesMsije mkawa mmekamatana wenyewe kwa wenyewe humo ndani maana kunavikosi mchanganyiko kama kachumbali ya kihindi
Kwahiyo inaweza isiwe mpango wa Marekani kama wengi wanavyo dhani???Kosa lao ni kuisaidia marekani kuwa base ya marekani kupambana na Somalia ,ndo wakajiingiza ,alshababu kama nia ni kuua ua tu basi wangeenda burundi ,magaidi sio vichaa na wangekuwa wajinga jinga marekani isingehangaika nao hivyo
Hawa waislamu wana shida sana
Acha kutoa sababu zisizokwisha, mlisema mnapeleka KDF Somalia kuzuia Alshabab wasivuke mpaka kuingia Kenya, hali ndio ikawa mbaya zaidi ya hata kabla ya KDF hawajaenda huko, mkasema mnajenga ukuta, matokeo yake mlijenga lakini mkaacha njiani hamjamalizia. Mbona ISrael imefanikiwa kudhibiti mashambulizi ya wapalestina katika miji yao baada ya kujenga ukuta?, Kenya nothing works.Buying a rat snare does not guarantee 100% immune. Others will surely infiltrate, don't pretend that you dodn't know that, do you?...
Mkuu Ni rahisi Sana kufanya shsmbulio Kama Hilo, na wahusika wasikamatwe ...Alshabab wao wanatrain na kufadhili vijana husika,hivyo baada ya tukio kufanikiwa basi wao lazima wajitangaze kuhusika maana wamefanikisha, pia kuhusu kutojua kwa Serikali hiyo Ni rahisi mbona Nchi zetu Zaki Africa tunafanya Mambo kwa mazoeaMagaidi si wapuuzi, umewahi kusikia kitu kinaitwa 'inside job'? siku zote mashambulizi haya yamekuwa na details za kutosha kuonesha ni kazi iliyo fanywa eidha na serikali yenyewe, au serikali imeufaham mchongo mzima lakini imefanywa kuwa 'paralyzed' isifanye chochote, na hicho ndicho kilicho onekana kule waste gate, na picha hiyo hiyo kama inajirudia. Hii ni sawa na kuamini kuwa maharamia wa somalia wakiwa na mitumbwi yao walikuwa wanaweza kuteka majimeli makubwa!!!!! Kumbuka Kenya ni nchi, inalo jeshi, vifaru, wizara ya usalama na ulinzi, n.k hainiingii akilini eti wanamgambo ... wasio na serikali, wala jeshi, wala wizara ya ulinzi wala bajeti ya ulinzi wafanye hilo wanalo lifanya kisha kutoweka!!! wasishikwe kisha waje wajitangaze ni wao wamefanya wasishikwe!!! kweli hili ???? 'Divide and Rule'
Some of the so called safest places on earth like Paris in France, US states etc are still grappling with the same, can a lower middle class be an exceptional?. You chose Israel and forgot to mention what I've given you as an example.Acha kutoa sababu zisizokwisha, mlisema mnapeleka KDF Somalia kuzuia Alshabab wasivuke mpaka kuingia Kenya, hali ndio ikawa mbaya zaidi ya hata kabla ya KDF hawajaenda huko, mkasema mnajenga ukuta, matokeo yake mlijenga lakini mkaacha njiani hamjamalizia. Mbona ISrael imefanikiwa kudhibiti mashambulizi ya wapalestina katika miji yao baada ya kujenga ukuta?, Kenya nothing works.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka hawakuomba,
Can happen to us too,
Ni kuombeana Mungu!!
Sent using Jamii Forums mobile app[/Kenya inajitakia hata matatizo ,hebu jiulize kwanini inapigwa!???wakenya wapumbavu sana ni sawa na MTUanawasha moto chini ya kitanda kisha analala kitandani !!! Nini nimewapeleka somalia!??.waacheni wasomali wauane ndani ya nchi yao mpaka waishe nyie mmejipeleka oneni mnachokipata
Hiki ndo kilifanyika kwenye shambukizi LA westgate, nilifuatilia sana hiki Kisa lakini nilishangaa sana, washambuliaji, kuna mmoja wapo baada ya kushambulia alitandika muswala akasali humo humo alimokuwa anashambulia alafu wengine walibadirisha mavazi haraka wakajichanganya kwa RAIA wakatoka nje kama kawaida, kilicho nisikitisha kuna mama mmoja alimkariri mshambuliaji mmoja ambaye tayari alikuwa ameshabadiri mavazi yule mama alimkomalia yule mshambuliaji kwa kumsontea kwa mapolisi lakini mapolisi hawakushughulia naye hadi yule jamaa akatokomea na kujichanganya kwa RAIA. Hawa magaida wapuuzi sana
Viongozi wanaotubomolea nyumba zetu walindweje na Mungu?Nashindwa hata cha kukujibu, Mungu akusamehe bure na ausafishe mdomo na mawaz yako,
Poleni wakenya na Mungu ilinde nchi yetu Tanzania na viongozi wake
Mmmh, Kwa nini mkuuTuache ushabiki wa kijinga ugaidi sehemu yoyote duniani ni mgumu sana kuuzuia kutokea
Sent using Jamii Forums mobile app