France, US, na other European countries hazijapakana na nchi zenye terrorists kama ilivyo Kenya na Israil, Alshabab hutokea Somalia na kuingia Kenya, kama ilivyo wapalestina hutokea Palestina na kuvuka mipaka kuingia Israel, kwahiyo ukuta ni suluhisho kwa Israel na Kenya sio kwa hizo nchi zingine.
Hizo nchi zingine terrorists kutumia Airports kuingia ndio sababu wanadhibiti sana kutoa visa na wageni kuingia katika nchi zao. Kitu cha kushanga, Israel wamefanikiwa kuwadhibiti wapalestina kwa kujenga Ukuta, lakini Kenya kila siku ni kutoa visingizio visivyokwisha, hata ukuta wenye hamjamaliza, sasa si mngeujenga ukamalizika muone kama watavuka waendelee kushambulia, tatizo mnajifanya wajuaji sana wakati hamna kitu mnachoweza kufanya kwa mafanikio.
Sent using
Jamii Forums mobile app