Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

First understand how terrorism and radicalisation works before you start yapping
Ujuaji wenu ndio kifo chenu, acheni kujifanya mnajua kila kitu wakati hamna jambo mnalofanikisha, ila poleni sana kwa shambulizi. Punguzeni kujifanya wajuaje na muanze kujifunza kwa wenzenu waliofanikiwa(Israel).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi wanao watumia watakapo maliza wanachokitaka

Magaidi wote wanaotumika ni kwa ajili ya magendo ya pembe na vilivyomo ardhini

Sasa mpaka viishe si leo

Sent from my SM using Tapatalk
Sisi hatuna?
 
View attachment 995287

Milipuko na milio ya risasi yasikika katika eneo la 14 Riverside, Nairobi kunakopatikana hoteli ya DusitD2.

Milipuko miwili mikubwa ya risasi ilisikika na baadaye ufyatuaji wa risasi.

Watu kadha wamejeruhiwa na wanahudumiwa na maafisa wa Shirika la Msalaba Mwekundu wakisaidia na watu wengine wa kujitolea.

Mmoja wa majeruhi amesafirishwa kupelekwa hospitalini.

Maafisa wa polisi wamefika eneo hilo, katika jumba hilo ambalo lina hoteli yakifahari na afisi za kampuni mbalimbali.


View attachment 995288
View attachment 995289
View attachment 995290

Baadhi ya watu waliokwama kwenye vyumba vya jumba hilo wamekuwa wakiandika ujumbe kwenye mitandao wa kijamii wakieleza kwamba wamekwama, au kujificha.

Mkuu wa polisi wa uchunguzi wa jinai Bw George Kinoti ni miongoni mwa maafisa wakuu wa polisi waliofika kuratibu operesheni ya kuokoa watu waliokwama ndani.
======

Two explosions and gunfire were heard at an upscale hotel and office complex in Kenya's capital on Wednesday afternoon, said a woman working in a neighbouring building.

"We are under attack," another person in an office inside a complex in the Dusit hotel told the Reuters news agency, then hung up. Local television showed smoke rising from the area.

The Nairobi police commander Philip Ndolo said they had cordoned off the area around Riverside Drive due to a suspected robbery.

Flames and plumes of black smoke billowed into the sky from the parking lot of the compound where several vehicles were on fire, with scores of people fleeing the compound, some of them lightly injured.

Somalia-based armed group al-Shabab claimed responsibility for the attack.

"We are currently conducting an operation in Nairobi." the group's military operations spokesman told Al Jazeera.

The scenes in the Westlands suburb reminded Nairobians of a bloody attack in 2013 by the group when its fighters stormed the Westgate mall, killing at least 67 people.

The country faced a spate of attacks after it sent its army into Somalia in October 2011 to fight the al-Qaeda-linked group.

On April 2, 2015, another al-Shabab attack killed 148 people at the university in Garissa, eastern Kenya.
=====

Updates:
PoliceIG Joseph Boinnet says that security agencies are doing their best to bring the situation to an end as quickly as possible

The biggest challenge so far is getting those injured to hospitals as there is heavy traffic preventing ambulances from leaving the scene of the attack.

Updates:
The Aga Khan Hospital also reports having received four casualties - three men and one "non-African" woman.

Avenue Hospital in Parklands has so far received eight casualties, one in critical condition while another one is a pregnant woman.

Many of those who were trapped inside different apartments near the scene attack continue being rescued.

Other injured people have been taken to M P Shah and Avenue hospitals.

Updates:
The whereabouts of the attackers, whom witnesses said are about six, is still unknown

The area has since been cordoned off and motorists are advised to use alternative routes to facilitate smooth operations by the Police.

One suspect has been arrested and many people rescued in the ongoing operation as police comb DusitD2 Hotel for more attackers.

Updates:
Response teams including the Recce Squad, Flying Squad, Anti-Terrorism Police Unit and the bomb squad led by Director DCI George Kinoti have responded.

The vehicle used by the attackers has been cordoned and the Bomb and Hazardous Disposal Unit is preparing to scrutinise it to establish whether it has explosives.

They then advanced and hurled explosives into vehicles at the parking lot before making their way into Dusit D2 Hotel which houses several offices and hotels.

They forced their way into 14 Riverside Drive and forced security guards to open the gate by shooting at them.

Updates:
URGENT blood appeals at M.P Shah Hospital, Avenue Hospital and KNH

The Village Market has been closed as a security precaution

State House urges Kenyans not to share attack clips or messages.

Updates:
Red Cross urges those looking for their relatives following the #RiversideAttack, Nairobi to call the hotline 0715820219.

Six of the seven floors of DusitD2 Hotel secured by security agencies; neutralisation operation still on, IG Boinnet says

IG Boinnet: Our officers remain focused on the search and rescue mission and the neutralization of the criminal elements
View attachment 995666

Updates:
The terror attack happened in a coordinated fashion that involved a suicide bomber and armed militants, according to Inspector General of Police Joseph Boinnet.

He said the terrorists began their onslaught by setting ablaze three vehicles at the I&M bank parking lot before moving to the dusitD2 complex.

At the entrance of dusitD2 hotel, Boinnet says the assailants carried out a suicide explosion, injuring several people among them guests.

Updates:
Whereabouts of the attackers is still unknown.

At least five people died at Secret Garden restaurant in the Dusit complex attack; elite police forces continue to comb the area to neutralise the attackers and evacuate people.

Updates:
The terror attack is said to have started shortly before 3 PM. Witnesses say the suspects are said to have arrived at the location driving two vehicles one with registration number KCN 340E and the other whose registration number is yet to be determined.

Rescue operations are ongoing at 14 Riverside Drive with the injured admitted at various hospitals for treatment. One fatality has been reported at MP Shah hospital where 6 injured victims of the attack were rush.
View attachment 995657

Dr. Boyani Mogeni live from Avenue Hospital: 'We received 17 casualties; have admitted five people, while the others have been treated and discharged' She further thanks Kenyans for responding to the blood drive.

Updates:
Khalwale, Mudavadi children caught up in Dusit Hotel terror attack: Mudavadi's son rescued, Khalwale hopeful daughter will be rescued

Updates:
Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has confirmed that security teams have retaken control of the 14 Riverside Drive complex which came under terror attack on Tuesday afternoon.

Dr. Matiang’i said the multi-agency security team deployed to the scene had secured all the affected buildings including the DusitD2 complex where the terrorists were holed up.

“We have secured all buildings that had been affected by this event. The security teams have evacuated scores of Kenyans and other nationalities from the buildings.

“We are now in the final stages of mopping up the area and securing evidence and documents in consequences of these unfortunate events,” said the CS.
********

View attachment 995755
One of the terrorists who attacked Dusit hotel captured on CCTV
Wakenya kwa security bado sana. Jamaa wanne wanawachezea almost 10 hours. aseeeee
 
Uislam ni dini ya amani na inamkataza mtu kumwaga damu za watu, hizi ni propaganda za kisiasa chini ya kivuli cha dini,na hao wanaouwa watu hivyo hadithi inasema ni "mbwa wa motoni" means watachomwa moto siku ya kiama kwa kuua kwao watu na mengine wanayofanya
 
Ila hawa jamaa hii mara ya pili, wanatoa war
warning harafu hutokea kweli, wao taarifa zinakuwaje kwao?
Huyo ndiye MKOLONI mzungu ndg, kwa jicho la nje huwezi kuona anachofanya ila inside eye (behind the scenes) you can see.

Unaweza kusema wanapanga wao haya mashambulizi ila kwa upande mwingine wana wataalam mbali mbali wanaosoma hali ya mahusiano, ulinzi nk.

Kupitia hapo (mfano, Kenya ilijitoa kwenda kupambana na Alshabab kule kwao na hao gaidi waliwapa Kenya warning watoe jeshi lao au watapata cha moto, tokea hapo ndiyo hii unayoona.

SWALI LAKO:
mkoloni anasoma mchezo unavoenda then anatoa taarifa baada ya kuona ⚠!
 
Kwaio diamond umeamia Kenya ?
Screenshot_2019-01-16-08-10-30.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Wao wapigane sie tipate hela" mtukufu kiongozi mkuu wa malaika
Mtu .mwenye akili timamu anatamka maneno kama haya ... huku wenyewe wana msikia kweli "!? Mbaya zaidi nchi yake ipo kwenye Muungano wa umoja wa nchi za africa mashariki .... if hao anao waombea mabaya wakimshika uchawi na kumwambia kuwa ana husika " katika kufanya kampeni za kuiingiza congo katika machafuko atakataa maana majeshi yake yapo kule "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumwa including you ndio hulazimika kumuombea mema bwana wao.
Sisi tulio huru kutoka uumbaji mpaka fikra tunajua kuwa nchi na vyote viijazavyo ni mali yake Mungu. Mungu ametuambia tumuimbe naye atatupa sawasawa na maombi yetu!

Ndiposa tunamuomba akimimine kiberiti mfano wa kile cha sodoma na gomora kwa wote wakaao magogoni walao na kusaza huku wakikinajisi kiti kitufu kwa kufanya makafara ya kilozi MACHONI PA BWANA!

Ama ni kipi janga kwenu ya kwamba Mungu awaachie mtawala akae kwenu kisha Mungu aigharikishe nchi kwa matendo maovu ya mtawala au amkatilie mbali mtawala na kuwahifadhi salama wote wakaao juu ya nchi?
hivi kwani wewe umeshaolewa? au bado unachumbiwa?
 
Kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea nchini kenya jijini Nairobi la mlipuko wa mabomu na kufyatuliwa kwa risasi katika hoteli ya kifahari iliyoko mtaa wa Riverside, kundi la kigaidi la Al-shabab wamekiri kuhusika katika shambulio hilo.

Fuatilia habari hii kwa kina katika link hii Al-Shabab wakiri kuhusika shambulio la kigaidi Nairobi. - Habari Mtaa

Kama hakuna mzungu aliyejeruhiwa au kufariki au hakuwepo muda wa shambulio, jiongezeni. Nachokiona hapo USA na NATO wanataka Kenyatta asiondoe Majeshi Somalia, hao Alshababu wametumiwa na mabeberu kufanikisha wanachokitaka.
 
Ni muda muafaka kwa jeshi letu kuingia Mogadishu kuwatokomeza magaidi wa Al Shabaab,lazima tuwasaidie ndugu zetu wakenya
 
Back
Top Bottom