Tesla Cybertruck imeonekana katika kiwanda cha magari cha BYD China. Wachina wanataka kufanya reverse engineering nini?

Tesla Cybertruck imeonekana katika kiwanda cha magari cha BYD China. Wachina wanataka kufanya reverse engineering nini?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kuna maneno mengi yanasemwa kwamba Cybertruck kutoka Tesla imefeli sokoni, lakini wote tunaona ndio best selling EV truck hadi sasa.
IMG_0950.png

Na pia hii EV haiuzwi officially China, lakini week iliopita imeonekekana kiwanda cha Magari cha BYD.
IMG_0951.png

Ilianza kwa kupark nje ya parking ya kiwanda na kua kivutio kwa watu mbalimbali then baadae ikaingia ndani.
IMG_0952.png

Je, Mchina anataka kufanya reverse engineering atoe gari kma ilo? Maana kufanya hadi maamuzi ya kununua Tesla USA hafu kuliimport hadi China ni serious issue.
IMG_0953.png

Ni kitu cha kawaida makampuni ya magari kununua magari ya wapinzani na kujifua mazuri na mabaya ya wenzao ili kuboresha department yao ya R&D though.
 
Mchina akitoka hapo watajuta......cheap same quality may be....etc acha waumize kichwa
 
Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kwenye academy ya brand kubwa ya magari Uk. Kuna gari ya rival brand waliileta wakawa wanaitumia kufundishia wataalamu wao. Nilipotaka kubadili gari nikanunua hio gari. Mypoint is, hata Wazungu huwa wanachukua gari ambayo wanajua iko successful kuitumia kama somo kwao.
 
Tesla nasikia wanaweza kuzima hizo gari remotely, ni kama yule kiongozi wa Chechen alilalamika Tesla wamezima gari yake Cybertruck haifanyi kazi, na Tesla wanafanya hivyo kwa maeneo yenye migogoro kiusalama n.k au wanapohisi gari yao inatumika kwa kazi zisizo halali.

Hivyo nahisi Tesla wanaweza kuzima hio Tesla iliopo BYD.
 
Back
Top Bottom