Pamoja na hiyo changamoto ila binafsi naona Wananchi wenyewe ndiyo Hatupo tayariWapinzani nayo mavi tu yamekalia kuunga juhudi tu!
Upo sahihi mkuu, kizazi chetu hiki ni utopolo kabisa tumeongezewa na hawa vijana wamegeuka kuwa chawa!Pamoja na hiyo changamoto ila binafsi naona Wananchi wenyewe ndiyo Hatupo tayari
Umewahi kuona Lissu anavyotoa mihadhara yake
Yaani angekuwa ni mchungaji, basi Kila mtu angeokoka,
Lakini Wananchi wenyewe ni kama tumelala
Mwaka 2023/24 ameongea sana kuhusu DP world na usanii wa Muungano wetu, lakini bado hakupata sapoti ya Wananchi
Me maana hata Uhuru wenyewe wa Nchi tumepewa tu baada ya mazungumzo na Malikia
Sioni kama hiki kizazi kingefanya lolote kuwaondoa Wakoloni iwapo wangegoma kuondoka
Tumekuwa na kizazi kilichojaa woga na watu laini lainiUpo sahihi mkuu, kizazi chetu hiki ni utopolo kabisa tumeongezewa na hawa vijana wamegeuka kuwa chawa!
mkuu hii milion 60 ni pamoja na kodi ya TRA.?Hii Prius ndio chuma kali aisee. Nikiwa na Mil 60, kati ya hii au Model 3 nachukua hii..
View attachment 3214896