Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,575
- 2,117
Umepigwa marufuku kupigwa maeneo ambayo ya wazi na yenye muingiliano na watoto lakin Clubs, Bar na kwenye sherehe ambazo hakuna Watoto Ruzuku!
Aliekuwa Jaji Mkuu wa Kenya yule Mvaa kihereni tayari ame post katika Account yake ya Tweeter kumtetea Diamond na kuponda uamuzi huo wa kumfungia