Tetema yafungiwa Kenya

Tetema yafungiwa Kenya

Hivi ni mimi sijui mambo ya mjini au? Mi nilidhani Tetema ni wimbo wa Rayvanny kumbe sivyo[emoji848]
 
Mm nasoma comments tu hapa, maana team matusi na roho mbaya ni hatari sn
 
Hivyo vitabu vinasomwa kwenye Radio ya Jamii na kuonyeshwa kweenye public TV ?

Dogo na wenzake wa aina yake wabadilike.., nadhani hakuna kipindi ambacho Tanzania wanamuziki wengi wana talent sana, melody nzuri.., vionjo vya kupendeza ila maudhui sio ya kistaarabu.., sidhani kama kubadilisha maudhui ya nyimbo zao kutapoza uzuri.., kwanza ndio miziki yao itadumu zaidi
Muziki wa Rick Ross, Chris brown, Drake, Nick minaj, Rihanna hauna parental guidance?
 
Rekodi mbili?? Imeelezwa moja??..

Imeandikwa kama ya magazeti na vi-account vya Youtube.

Unakuta kichwa cha habari.

Waziri abaka mchana kweupe
Kumbe mtu anaitwa waziri.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umenikumbusha mbali sana habar za udaku kwenye gazeti la uwazi walikuwa na kauli tata sana.
"Apigwa azimia kwa mmama"
"Afande sele kizimbani kwa kubaka"
Halaf ukisoma habar mwishoni wanakanusha kwamba Apigwa-ni jina la mtu,Azimia-maana yake amempenda
Mmama-maana yake ni shangingi au sugarmummy.
 
aTanzania tungekuwa makini kama kenya nyimbo nyingi za bongo flavour zimefungiwa maana wasanii wa wa sasa hawana cha kutunga zaidi ya matusi ya nguoni tu
Nadhani wanaopaswa kuzifungia njaa zitawaua so ni heri wafunike kombe mwanaharamu apite.
 
Back
Top Bottom