Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Nashukuru tetemeko la ardhi limemshambulia Lucas Mwashambwa ambaye haishi kumsifu rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmempongeza mama Samia kwa kuleta hilo tetemeko? Asije akasifiwa mwingine mkaanza kununa.Nashukuru. Mungu Mwema.
Acha kukurupuka na kuropoka hovyoLaitinmngejua huyo bibi anachowafanyia, 2030 mtajuta kulitaja hilo jina.
Kaa kwa kutuliaWewe ni kijana mjinga sana!
Tetemeko na hiyo aya ya mwisho vina uhusiano gani??
Naona una matatizo kichwani mwakoWewe ni kijana ambae huna akili, embu jitafakari mkuu au tukuongezee akili bandia
Usilete utani kwenye Tetemeko
Naona una matatizo kichwani mwako
Tumshukuru Mungu ,Watanzania wabubujikwa na machozi kusikia kama upo salama na tetemeko limepita bila kuacha madhara ila siku nyingine kumbuka kuchukua kavideo kadogo au kurekodi sauti wasikie milango iliyofungwa kwa kufuli ikijifungua!View attachment 3005379
Ndugu zangu Watanzania,
Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko kali,,kubwa na la ajabu sanaa kuwahi kushuhudia.limetetemesha na kuitikisa nyumba mpaka nikaona mlango unafunguka wenyewe.
Nyumba ,milango , madirisha yalikuwa yanatemeka na kupiga kelele utafikiri nyumba inataka kwenda chini na madirisha na milango inataka kung'oka. Hakuna usingizi uliosalia na kila jirani niliyempigia simu ilipokelewa kwa haraka sana kuashiria kuwa watu walikuwa tayari wapo macho na wengi wameamshwa na tetemeko hilo la maajabu na kubwa kuwahi shuhudiwa ukanda huu.
Nikiri wazi nimeishi mkoa wa Rukwa ambako kuna bonde la Ufa limepita pamoja na mikoa ya ,Mbeya na Songwe lakini hili la leo ni kiboko ni hatari ni la kuogofya kwelikweli ndugu zangu.
Mungu atusaidie sana na majanga ya aina hii.Nilikuwaga nasoma habari za matetemeko kwenye Physical Geography yaani Geography 1,kidato cha tano na Sita na kuendelea huko juu,ila leo kwa Vitendo ndio sasa nimeliona na kushuhudia kwa macho na masikio yangu kile nilichokuwa nakisoma darasani.
Nimejaribu kumpigia wa mbali kidogo ndani ya wilaya ya Mbozi naye kapokea simu haraka sana na kusema kuwa nako limepiga na kwamba walikuwa wanaangalia kama tofali zitaanza kuanguka.
Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nashukuru sana mkuu.Pole Mkuu Kwa kadhia hiyo
Wewe ndio unaleta utani, tetemeko la ukubwa wa Ritcher scale 4.5 ndio unaliita Tetemeko kali sana?!.Usilete utani kwenye Tetemeko