Tetemeko kali la Ardhi latikisa Mkoa wa Songwe

Tetemeko kali la Ardhi latikisa Mkoa wa Songwe

View attachment 3005379

Ndugu zangu Watanzania,

Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko kali,,kubwa na la ajabu sanaa kuwahi kushuhudia.limetetemesha na kuitikisa nyumba mpaka nikaona mlango unafunguka wenyewe.

Nyumba ,milango , madirisha yalikuwa yanatemeka na kupiga kelele utafikiri nyumba inataka kwenda chini na madirisha na milango inataka kung'oka. Hakuna usingizi uliosalia na kila jirani niliyempigia simu ilipokelewa kwa haraka sana kuashiria kuwa watu walikuwa tayari wapo macho na wengi wameamshwa na tetemeko hilo la maajabu na kubwa kuwahi shuhudiwa ukanda huu.

Nikiri wazi nimeishi mkoa wa Rukwa ambako kuna bonde la Ufa limepita pamoja na mikoa ya ,Mbeya na Songwe lakini hili la leo ni kiboko ni hatari ni la kuogofya kwelikweli ndugu zangu.

Mungu atusaidie sana na majanga ya aina hii.Nilikuwaga nasoma habari za matetemeko kwenye Physical Geography yaani Geography 1,kidato cha tano na Sita na kuendelea huko juu,ila leo kwa Vitendo ndio sasa nimeliona na kushuhudia kwa macho na masikio yangu kile nilichokuwa nakisoma darasani.

Nimejaribu kumpigia wa mbali kidogo ndani ya wilaya ya Mbozi naye kapokea simu haraka sana na kusema kuwa nako limepiga na kwamba walikuwa wanaangalia kama tofali zitaanza kuanguka.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpunguze uchawi
 
View attachment 3005379

Ndugu zangu Watanzania,

Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko kali,,kubwa na la ajabu sanaa kuwahi kushuhudia.limetetemesha na kuitikisa nyumba mpaka nikaona mlango unafunguka wenyewe.

Nyumba ,milango , madirisha yalikuwa yanatemeka na kupiga kelele utafikiri nyumba inataka kwenda chini na madirisha na milango inataka kung'oka. Hakuna usingizi uliosalia na kila jirani niliyempigia simu ilipokelewa kwa haraka sana kuashiria kuwa watu walikuwa tayari wapo macho na wengi wameamshwa na tetemeko hilo la maajabu na kubwa kuwahi shuhudiwa ukanda huu.

Nikiri wazi nimeishi mkoa wa Rukwa ambako kuna bonde la Ufa limepita pamoja na mikoa ya ,Mbeya na Songwe lakini hili la leo ni kiboko ni hatari ni la kuogofya kwelikweli ndugu zangu.

Mungu atusaidie sana na majanga ya aina hii.Nilikuwaga nasoma habari za matetemeko kwenye Physical Geography yaani Geography 1,kidato cha tano na Sita na kuendelea huko juu,ila leo kwa Vitendo ndio sasa nimeliona na kushuhudia kwa macho na masikio yangu kile nilichokuwa nakisoma darasani.

Nimejaribu kumpigia wa mbali kidogo ndani ya wilaya ya Mbozi naye kapokea simu haraka sana na kusema kuwa nako limepiga na kwamba walikuwa wanaangalia kama tofali zitaanza kuanguka.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hongera Lucas Mwashambwa. Kwa Mara ya kwanza leo umeàndika maudhui yenye maana na unayo elimisha.
Nikumegee Siri. Ukiwa unaandika habari Kama hizi Kuna vyombo vya habari vitakupa ajira ya maana.
 
View attachment 3005379

Ndugu zangu Watanzania,

Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko kali,,kubwa na la ajabu sanaa kuwahi kushuhudia.limetetemesha na kuitikisa nyumba mpaka nikaona mlango unafunguka wenyewe.

Nyumba ,milango , madirisha yalikuwa yanatemeka na kupiga kelele utafikiri nyumba inataka kwenda chini na madirisha na milango inataka kung'oka. Hakuna usingizi uliosalia na kila jirani niliyempigia simu ilipokelewa kwa haraka sana kuashiria kuwa watu walikuwa tayari wapo macho na wengi wameamshwa na tetemeko hilo la maajabu na kubwa kuwahi shuhudiwa ukanda huu.

Nikiri wazi nimeishi mkoa wa Rukwa ambako kuna bonde la Ufa limepita pamoja na mikoa ya ,Mbeya na Songwe lakini hili la leo ni kiboko ni hatari ni la kuogofya kwelikweli ndugu zangu.

Mungu atusaidie sana na majanga ya aina hii.Nilikuwaga nasoma habari za matetemeko kwenye Physical Geography yaani Geography 1,kidato cha tano na Sita na kuendelea huko juu,ila leo kwa Vitendo ndio sasa nimeliona na kushuhudia kwa macho na masikio yangu kile nilichokuwa nakisoma darasani.

Nimejaribu kumpigia wa mbali kidogo ndani ya wilaya ya Mbozi naye kapokea simu haraka sana na kusema kuwa nako limepiga na kwamba walikuwa wanaangalia kama tofali zitaanza kuanguka.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asante mama kwa kutuketea tetemeko...!
 
View attachment 3005379

Ndugu zangu Watanzania,

Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko kali,,kubwa na la ajabu sanaa kuwahi kushuhudia.limetetemesha na kuitikisa nyumba mpaka nikaona mlango unafunguka wenyewe.

Nyumba ,milango , madirisha yalikuwa yanatemeka na kupiga kelele utafikiri nyumba inataka kwenda chini na madirisha na milango inataka kung'oka. Hakuna usingizi uliosalia na kila jirani niliyempigia simu ilipokelewa kwa haraka sana kuashiria kuwa watu walikuwa tayari wapo macho na wengi wameamshwa na tetemeko hilo la maajabu na kubwa kuwahi shuhudiwa ukanda huu.

Nikiri wazi nimeishi mkoa wa Rukwa ambako kuna bonde la Ufa limepita pamoja na mikoa ya ,Mbeya na Songwe lakini hili la leo ni kiboko ni hatari ni la kuogofya kwelikweli ndugu zangu.

Mungu atusaidie sana na majanga ya aina hii.Nilikuwaga nasoma habari za matetemeko kwenye Physical Geography yaani Geography 1,kidato cha tano na Sita na kuendelea huko juu,ila leo kwa Vitendo ndio sasa nimeliona na kushuhudia kwa macho na masikio yangu kile nilichokuwa nakisoma darasani.

Nimejaribu kumpigia wa mbali kidogo ndani ya wilaya ya Mbozi naye kapokea simu haraka sana na kusema kuwa nako limepiga na kwamba walikuwa wanaangalia kama tofali zitaanza kuanguka.

Kazi iendelee,Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
songwe kuna matukio mengi ya ajabu!!
 
Back
Top Bottom