Tetemeko kali la Ardhi latikisa Mkoa wa Songwe

Lucas pole sana nafurahi kuona umetoka salama

Ila kumbe we kichwa advance ulisoma PGM!🤸
 
Laitinmngejua huyo bibi anachowafanyia, 2030 mtajuta kulitaja hilo jina.
 
Wewe ni kijana ambae huna akili, embu jitafakari mkuu au tukuongezee akili bandia
 
Wewe ni kijana mjinga sana!

Tetemeko na hiyo aya ya mwisho vina uhusiano gani??
 
Usilete utani kwenye Tetemeko

Wewe ndiye unaleta utani na kuifanya habari nzima ionekane ni upuuzi. Sasa huyo mama anahusika nini na hilo tetemeko? Ndiye aliyekuletea tetemeko au ndiye aliyelizuia lisikuletee madhara? Kweli uchawa huondoa akili. Yawezekana hata ukijikwaa huwa unamshukuru mama na kumwambia kazi iendelee!! Unamdhihaki huyo mama na kumkufuru Mungu pia.
 
Tumshukuru Mungu ,Watanzania wabubujikwa na machozi kusikia kama upo salama na tetemeko limepita bila kuacha madhara ila siku nyingine kumbuka kuchukua kavideo kadogo au kurekodi sauti wasikie milango iliyofungwa kwa kufuli ikijifungua!
 
Kama hakuna maafa yaliyotokea,ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuwaepusha na janga hilo.
 
Usilete utani kwenye Tetemeko
Wewe ndio unaleta utani, tetemeko la ukubwa wa Ritcher scale 4.5 ndio unaliita Tetemeko kali sana?!.
Acha propaganda zako kwa kila jambo, hilo ni tetemeko dogo la kawaida tu, acha uoga!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…