Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

Marekani walikufa 3000 mpaka leo tunakumbuka hivi waarabu ni watu?
 
Vifo vimefika 43,000
Aisee
unajua sometimes unaona kama Maajabu.. mana huko ni kufutwa juu ya uso wa dunia watu 43 elfu ni wengi jamani..

ila nashangaa wale wadangaji bado wanadanga sasa tetemeko liko wapi nao wako wapi
 
Aisee
unajua sometimes unaona kama Maajabu.. mana huko ni kufutwa juu ya uso wa dunia watu 43 elfu ni wengi jamani..

ila nashangaa wale wadangaji bado wanadanga sasa tetemeko liko wapi nao wako wapi
Tetemeko limetokea mbali kidogo zaidi ya KM 100 kutoka Instanbul

Ila litatikisa uchumi wa Turkey utaendelea dondoka sana
 
Mwanamke 1aokolewa akiwa hai, baada ya kufunikwa kwa masaa 258 au siku 10 na Masaa 18
 
Tetemeko lingine limetokea leo, 1 hour ago.. lenye 6.4 magnitude
 
Inasikitisha, nimechek Aljazeera watu wanahofu na maisha yao wamekaa nje tu.
 
Inasikitisha, nimechek Aljazeera watu wanahofu na maisha yao wamekaa nje tu.
kuna mambo hata ukiyatafakari unakosa majibu ya wahanga..
wanajiskiaje saizi wanaishi kwa mashaka maisha yamegeuzwa juu chini ndani ya wiki2 uhai wao umekua kama mawindo
 
Tetemeko la Sichuan China mwaka 2008. Lile la Sumatra mwaka 2004. Kashmir mwaka 2005.

Kumbe ulikuwa unazungumzia kuanzia 2010 na kuendelea? Ungebainisha basi. Mimi nilikuwa hasa naijibu comment hii hapa ya David Harvey
China ina matetemeko mengi makubwa zaidi na wahanga wengi zaidi
 
Hatari sana Mungu atunusuru nawaza ikitokea kariakoo hatoki mtu
Halafu kwa Afrika tanzania imo kwenye nchi zenye hatari ya matetemeko. Ila bahati yetu ni kwamba matetemeko yetu mara nyingi sio makubwa kwa sababu sisi yanasababishwa na miamba ya plate ya bara ya Afrika inaachana, yani bonde la ufa lile, lina achana, tofauti na huko kwengine, miamba inakutana haiachiani matetemeko yao ni makubwa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…