Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Dodoma/ Singida iko kwenye reli ya kati ndani ya bonde la ufa.Ni wapi huko kwa hapa Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma/ Singida iko kwenye reli ya kati ndani ya bonde la ufa.Ni wapi huko kwa hapa Tz
SingidaNi wapi huko kwa hapa Tz
Hahahaaa. Wameishia kunywa kimpumu na kusahau hilo tukio.We Mnyalukolo, Mbukwenyi . Nilitegemea hao jamaa wa Kintinku wataleta taarifa zaidi lakini hadi sasa hawajaleta. Nadhani kuna tatizo la mtandao ndo maana hatujapata mrejesho. Asante.
Ni kwa bibi yangu hapo. Nakujua vizuri tu.Umejuaje,ni pale ofisi ya mtendaji wa kijiji...
Unafaa kuwa nabii mkuuNilihisi kitu kama hicho nikiwa kazini,ila nikaona kama ni mimi peke yangu ndio nimefeel hakuna hata mmoja wetu pale aliegundua kitu...