Tetemeko la ardhi la ukubwa wa 6.7 Elazığ Uturuki

Tetemeko la ardhi la ukubwa wa 6.7 Elazığ Uturuki

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki.
Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300.

Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili.

Taarifa iliotolewa na shirika ambalo ambalo linahusika na kutoa huduma ya kwanza katika matukio ya dharura AFAD imefahamisha kuwa ni watu 14 ambao wamefariki huku ikihofiwa idadi hiyo kuongezeka.
 
Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki.
Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300.

Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili.

Taarifa iliotolewa na shirika ambalo ambalo linahusika na kutoa huduma ya kwanza katika matukio ya dharura AFAD imefahamisha kuwa ni watu 14 ambao wamefariki huku ikihofiwa idadi hiyo kuongezeka.
Hii ni Earthquake ya tatu ndani ya hii wiki bila shaka. Mbili zimetokea Istanbul na Izmir.
My deepest sympathies.
 
Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki.
Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300.

Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili.

Taarifa iliotolewa na shirika ambalo ambalo linahusika na kutoa huduma ya kwanza katika matukio ya dharura AFAD imefahamisha kuwa ni watu 14 ambao wamefariki huku ikihofiwa idadi hiyo kuongezeka.
pole kwa wafiwa na tunaomba wahusika wote wa tukio hilo wachukuliwe hatua za k'sheria ili iwe fundisho kwa wengine
 
Back
Top Bottom