Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Natural hazards
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie pia mpk msalato sista kaskiaEeeh nimelisikia hapa nyumbani nikahisi nyumba inatetemeka
Kwani hawana teknolojia ya kutabiri matetemeko hadi madhara yatufike?Na mie pia mpk msalato sista kaskia
Huwezi kutabiri tetemeko, only animals can sense it [emoji24]Kwani hawana teknolojia ya kutabiri matetemeko hadi madhara yatufike?
Huwezi kutabiri tetemeko, only animals can sense it [emoji24]
force majeure/ majeure case, hii wakandarasi tunalitumia zaidi kwenye mikatabaNatural hazards
Umewahi kusikia wapi tahadhari ya tetemeko ikatolewa kabla mkuuYaani wanatoa taarifa baada ya matetemeko badala watoe kabla ya matetemeko
Hajui kuwa tetemeko nalo lina haki zake za kimsingi za kujitetemekea bila kutoa tahadhari kwa yeyote.Umewahi kusikia wapi tahadhari ya tetemeko ikatolewa kabla mkuu
Mambo ya expansion jointforce majeure/ majeure case, hii wakandarasi tunalitumia zaidi kwenye mikataba
Ni tofauti sana na MAJEURE CASE.Mambo ya expansion joint
kuna kipindi wataliaVipi magorofa ya dodoma huko yanayojengwa kama uyoga?
Sawa bwasheeNi tofauti sana na MAJEURE CASE.
hiki ni kipengele tunawekaga pale ambapo umewa ukomo wa kukabidhi kazi, unaandika kile kipengele labda yakitokea majanga ya asili ndio inaweza kuwa nafuu yako au ule muda wa mradi kuwa chini ya uangalizi labda miezi 6 au mwaka pasitokee uharibifu isipokuwa majanga ya ASILI..
Hyayo majanga ya asili ndio ( MAJEURE CASE)