Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Yaani wanatoa
Are you sure mkuu?Matetemeko huwezi jua latokea lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you sure mkuu?Matetemeko huwezi jua latokea lini
🤣🤣🤣🤣ujumbe sijui taarifa UmepataMleta taarifa hapa sio Mtindiga kweli ? Maana si kwa mwandiko huo...[emoji23][emoji23]
Mshazoea hukoMbona hatujapata taharuki? Hata nje hatujatoka tumetetemeshwa tukatikisika tikisika kidogo basii
Uzuri sio ya kutisha...yanapita kiustaarabuMshazoea huko
Ndio tunachoomba hiko.Uzuri sio ya kutisha...yanapita kiustaarabu
Kwakweli mkuuNdio tunachoomba hiko.
Wanakuja mama🤣🤣🤣Dodoma mzee baba
Nafurahi hujadhurika mtani na rafikiUzuri sio ya kutisha...yanapita kiustaarabu
Nashukuru sana rafiki...mtuombee tumepitiwa na bonde la ufa...any time kinanukaNafurahi hujadhurika mtani na rafiki
Mungu atawatunza mamaNashukuru sana rafiki...mtuombee tumepitiwa na bonde la ufa...any time kinanuka
Angalia hiki wanachosema hao jamaa zenu hapa...Yaani wanatoa taarifa baada ya matetemeko badala watoe kabla ya matetemeko
Umewaza kama mimiLingetokea chattle lifukue kaburi tulicharaze jeneza mijedeli kadhaa kwa ushenzi wake
YahNina uhakika halijadumu hata sekunde 10
Pole Ya muumba mengi.Yaani nimeogopa sana.. Nimelisikia mara 2