Iko channel namba ngapi? Hata Azam sijawahi kuwasikia wakitangaza kuirusha ligi Serie A.Ligi ya Italy mbona ipo ndani ya Azam!!
Bukoba mkuuUpo mkoa gani boss?
Iko channel namba ngapi? Hata Azam sijawahi kuwasikia wakitangaza kuirusha ligi Serie A.
Vv
Vv
Kwapesa zetu za madafu n shs ngap???$ 250m kwa EPL pekee na £ 100m kwa UCL pekee
Azam bado anapambana tusimchukulie poa. Anawin haki kwa kigezo Cha lugha ya kiswahili
List of La Liga broadcasters - WikipediaView attachment 1558880
Bil 575Kwapesa zetu za madafu n shs ngap???
𝚍𝚞𝚑, 𝚊 𝚕𝚘𝚝 𝚘𝚏 𝚖𝚘𝚗𝚎𝚢Bil 575
Hakuna, anaonesha ligi ya Bongo tu.Laliga imeanza jana, je Azam tv kaonyesha mechi yoyote?
Ni mwendo wa BUNDESLIGALaliga imeanza jana, je Azam tv kaonyesha mechi yoyote?
Channel gani mkuuNi mwendo wa BUNDESLIGA
Azam Sport HDChannel gani mkuu
Ni mwendo wa BUNDESLIGA
Hakuna, anaonesha ligi ya Bongo tu.
Zilizikuwa zinaonyesha La LigaKupitia chaneli gani?
Zilizikuwa zinaonyesha La Liga