Tetesi: Azam Tv kutoonyesha La liga msimu huu

Tetesi: Azam Tv kutoonyesha La liga msimu huu

Duuuh kumbe kuulizwa ni makosa, nimekushangaa
Tatizo maswali yenu mengine tunayaona kama vile kero.
Umeniuliza wanaonyesha chanel ipi nimekutajia. Halafu unauliza tena je wametangaza?


La Liga msimu huu haionyeshwi AzamTv.
Mtaangalia Bundesliga.
Taarifa hii nimepewa na jamaa yangu anayefanya kazi kule Azam Tv.


Una swali lingine?
 
Tatizo maswali yenu mengine tunayaona kama vile kero.
Umeniuliza wanaonyesha chanel ipi nimekutajia. Halafu unauliza tena je wametangaza?


La Liga msimu huu haionyeshwi AzamTv.
Mtaangalia Bundesliga.
Taarifa hii nimepewa na jamaa yangu anayefanya kazi kule Azam Tv.


Una swali lingine?

Acha kudanganya watu, Azam hatorusha Bundesliga
 
Tutaelewana tu. Mitano tena hadi 2025, La liga hamna na bado kulipia tsh 28000 azam huwezi. Mm naweka bando langu siku ikicheza Atalanta au juventus tu. Hizo mechi nyingine nasubiri matokeo kesho
 
Kumekuwa na uvumi kuwa kampuni ya Azam Tv wameamua kutokuongeza tena mkataba wake wa kuonyesha ligi kuu ya Uhispania, maarufu kama La Liga. Hivyo kufanya chaneli yao ya Azam Sports HD iliyokuwa ikitumika kurusha matangazo ya mechi za Laliga kujikita zaidi kuonyesha ligi ya VPL.

Inadaiwa hasara imekuwa kubwa, matangazo wanayanunua kwa bei kubwa sana, huku wakiuza kwa bei rahisi kwa wateja wao.

Hizi bado ni fununu hazijathibitishwa, ila ikiwa ni kweli, nawaona Dstv wakizidi kutunyonya kwani lazma watapandisha chaneli yao ya michezo ya Laliga kwenye vifurushi vya juu!

Ngoja tuone Azamtv wakithibitisha ukweli wa tetesi hizi!
ngoja tuone
 
Back
Top Bottom