Tetesi huanza na minong'ono

Usenge wako peleka huko sijadiliani na mashoga kama wewe.
Kwa hiyo tangu umeanza ushoga kwa hiari ndiyo umekuwa na tabia ya kujaribu kukisia kujua kama unaojibizana na na wenyewe ni mashoga kama ulivyo?
Labda nikupe ushauri wa kiungwana, hako katabia ka kuruhusu wenzako wakuingilia siyo kazuri, jitahidi uachane nako, tafuta mwanadaikolojia, atakusaidia sana
 
Yeyote yule anayeyasimamiana kuyalinda magenge ya utekaji na uuaji akitangulia itakuwa nafuu kwa Taifa.
 
Pamoja na kuchukiana na kutofautiana kutokana na itikadi za kisiasa,si vizuri
Kuzusha au kufurahia mtu kupoteza maisha.

Tutangulize Utu na ubinadamu kwanza
Kama watu wanadai vifo vya wengine ni drama, hata wao wakifa itabidi sisi wengine pia tufurahi, maana hawana utu.
 
Sema wale wabaya wakitangulia kulamba sakafu ni nafuu kwa wanaobaki.
 
Tumuombee binadamu mwenzetu apone, kama kweli anaumwa. Watu hupenda kufurahia vifo, hata bila kujua kuwa huenda they'll be next.
Hawa Hawa wanaosema kutekwa na kuuawa kwa wengine ni drama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…