Mara nyingi ngapi? wapi? Weka link au post namba hapa.Mkuu maisha yako yamekaa kimahakama tu kwenye kila jambo!?..thibitisha,toa ushahidi nk!!..Mara nyingi iso idadi imetajwa hijab ya rais humu, hijab avae mwingine joto asikie kafiri akila nguruww na bia!!
Unahusu nini?? Huu unahusu tetesi za kifo, ule je?? Halafu kama utaweza funguka hata kwa code.kisha ukasome ule uzi ulio andikwa na @GENTAMYCINE
Kwa hiyo tangu umeanza ushoga kwa hiari ndiyo umekuwa na tabia ya kujaribu kukisia kujua kama unaojibizana na na wenyewe ni mashoga kama ulivyo?Usenge wako peleka huko sijadiliani na mashoga kama wewe.
Uwezo wangu umeishia hapa mkuu...Unahusu nini?? Huu unahusu tetesi za kifo, ule je?? Halafu kama utaweza funguka hata kwa code.
Yeyote yule anayeyasimamiana kuyalinda magenge ya utekaji na uuaji akitangulia itakuwa nafuu kwa Taifa.Mkuu ukosefu wa ajira katika jamii ya Tanzania ndo chanzo cha tetesi na minong'ono, hu uzi wako watu watatunga mengi na kuhama mada kwasbb wengi hupenda taarifa mbaya kwa wenzetu......yangu ni macho hu uzi unaishia pabaya tuna roho za kishetani, kwasbb lilitokea kwa JPM wengi hutamani limkute na mgine ila Mungu hafuati matakua ya watu, Mama bado yupo mpaka pale mungu atakapo penda kadari yake ifike.
Kama watu wanadai vifo vya wengine ni drama, hata wao wakifa itabidi sisi wengine pia tufurahi, maana hawana utu.Pamoja na kuchukiana na kutofautiana kutokana na itikadi za kisiasa,si vizuri
Kuzusha au kufurahia mtu kupoteza maisha.
Tutangulize Utu na ubinadamu kwanza
Leta wewe ajenda.Kwakua watu hawana agenda bas hzo ni agenda mnapewa. Badala mpambane na wa2 kukatwa majina mnahangaika na umbea huu na Yanga kufungwa.Kwan hamna agenda ambayo haina upepo?
Sema wale wabaya wakitangulia kulamba sakafu ni nafuu kwa wanaobaki.Haya maisha tutendeane mema na kuombeana dua njema. Tukumbuke maneno haya:
Lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Mwisho wa siku kila mtu atalamba sakafu.
Hawa Hawa wanaosema kutekwa na kuuawa kwa wengine ni drama!Tumuombee binadamu mwenzetu apone, kama kweli anaumwa. Watu hupenda kufurahia vifo, hata bila kujua kuwa huenda they'll be next.
Ki4 ni Ki4 2Afe tu tushamchoka, God bless tanganyika
Mungu hafurahii kifo cha mtu mbaya.Sema wale wabaya wakitangulia kulamba sakafu ni nafuu kwa wanaobaki.
Wewe mbona unafurahia kutoweka/kufa kwa mtuHii ni chuki ama kuna sehem nikikuosea ama unatamani tu nitoweke..🤔
Kuwataka watu 'kuthibitisha pasi na shaka?!Mara nyingi ngapi? wapi? Weka link au post namba hapa.
Kafurahia habari za kifo Cha mkuu wa kaya, wakati yeye juzi kaleta taarifa humu alipata ajali aombewe,Kuna ng'ombe wengine Sana humuUnahusu nini?? Huu unahusu tetesi za kifo, ule je?? Halafu kama utaweza funguka hata kwa code.
Inamuhusu nani hii tetesi aiseeUnajisemesha weee😅 ila ni mzima wa Afya endeleeni kirishana matango
Mara nyingi ngapi? wapi? Weka link au post namba hapa.Kuwataka watu 'kuthibitisha pasi na shaka?!
Kunywa wine mkuuMara nyingi ngapi? wapi? Weka link au post namba hapa.