Tetesi huanza na minong'ono

Hoja nzito Sana hii. Nasisitiza uzingatiwe🙏
 
Ajenda uchaguzi serikali ya mitaa ishapigwa chini baada ya hapo CCM anashida 100%
 
Ila bro Mshana mnafiki wa kutisha. Kalizua la kuzua, kaacha watu wanaumiza vichwa, yeye anaandika habari za Gamondi.

Za Msedchu kuingia studdio katelekezea watu.
Asante kwa mtazamo hasi wa kuniita mnafiki wa kutisha.. Nimepokea kwa mikono miwili kwakuwa sibagui
 

Inafikirisha Sana
 
Chadema walizubaishwa kidogo wakaachana na ajenda ya uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…