Tetesi huanza na minong'ono

Mkuu ukosefu wa ajira katika jamii ya Tanzania ndo chanzo cha tetesi na minong'ono, hu uzi wako watu watatunga mengi na kuhama mada kwasbb wengi hupenda taarifa mbaya kwa wenzetu......yangu ni macho hu uzi unaishia pabaya tuna roho za kishetani, kwasbb lilitokea kwa JPM wengi hutamani limkute na mgine ila Mungu hafuati matakua ya watu, Mama bado yupo mpaka pale mungu atakapo penda kadari yake ifike.
 
Nimeingia X kwa Maria Sarungi, habari ni tetesis ya Bi. Mkubwa kuwa magonjwa na kwamba taarifa inafichwa.

Muda utaongea.
Salary Slip hii habari mbaya kama ni kweli Bi Mkubwa hapaswi kuugua na kundoka tunampenda sana. Yaani yeye ni catalyst na kiunganishi. Hatuna mwingine. Tulilia na bado tunaomboleza kifo cha kwanini Mchate alikufa ila kwa Bi mkubwa tumuombee Mungu amuepushe
 
Sawa nibtaarifa Gani zinavuja? Tuhabarishe wengine tuko bize kuchakachua uchaguzi ili ccm waonekane wameshinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…