Tetesi huanza na minong'ono

Haya maisha tutendeane mema na kuombeana dua njema. Tukumbuke maneno haya:

Lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,
ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

Mwisho wa siku kila mtu atalamba sakafu.
 
Mwafrika ubongo wake haujapevuka kiasi cha kujitawala. Fact. Hatujifunzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…