Tetesi huanza na minong'ono

Yes, tukasikia tayari. Sumu imemtanguliza chuma mmoja toka Tz maeneo ya chuga, huko SA. Mara ghafla akatokea na misafara, watu kimyaaa mpaka leo. Huwa sikimbilii kuamini hadi, wimbo wa Taifa au breaking news.
Huyo huyo mleta mada ndiye alianzishaga hiyo story. Kwa kuumbuliwa kule kama angekuwa ni mtu wa soni asingeleta uzi huu leo. Maana kuna uwezekano mkubwa ikawa ni aibu nyingine tena kwake.
 
Wala sio shida, na sisi ikiwa wakati wa mwenzenu tutahakikisha tunaanzisha harakati humu na kwingineko mpaka inchi isitawalike hii,
Ubaya ubwela

Yaani mnamuombea mtu afe kwa ajili tu ya dini yake? Nyie mtaishi milele?
Watu hawazungumzii dini. Wapo na mambo yao mengine. Acha kuleta Taharuki.
 
Nimehamia hapa Lugalo getini, naangalia aina ya watu na magari yanayoingia na kutoka. Mpaka nimeshuhudia IST yenye matairi ya blue na vioo vyeusi
 
Nimzima na mwenye afya hata mm niliongea naye leo 🀫 πŸ™Š 🀫
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…