Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahamishiwa magoli ili tupaishe ujue.. Wale wanyama baada ya kupakiwa kule mbugani ndio yakaja mambo ya likizo na kupewa thumu ya mendeHuhusiki mkuu, nimesoma replies za watu ndio nikaona kuna sumu kali sana zaidi ya ile ya koboko.
Kimsingi kama kuna shida nadhani ni haki ya wananchi kujua, mbona Ben, JK na JN watu walipewa taarifa na hakukuwa na tatizo.
😂😂😂😂 Imebidi nicheke tu'Tunahamishiwa magoli ili tupaishe ujue.. Wale wanyama baada ya kupakiwa kule mbugani ndio yakaja mambo ya likizo na kupewa thumu ya mende
Nimetoka kuangalia X(Twitter) nimecrack codeGamond
Wewe umrejuaje ni uzushi, amekufahamisha yeye binafsi?Tetesi huanza na minong'ono.. Hiyo minong'ono ikikoma huwa tetesi na tetesi zikikoma huwa breaking news..!
Dunia ya sasa iko uchi kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia.. Dunia haina siri tena!
Unafanya jambo gizani.. Tena giza totoro kabisa lakini unakuja kushangaa jambo hilo linakuja kuwekwa upenuni peupe kwa picha safi kabisa
Kuficha taarifa yoyote kubwa inayoihusu Jamii haisaidii chochote.. Tunaweza kafanya hivyo kwa lengo maalum na sababu maalum lakini kwa dunia hii ya sasa.. Taarifa zinaweza kuvuja zenyewe bila hata kuvujishwa na yoyote yule
Kuna madhara makubwa kwenye taarifa kuvuja zenyewe.. Maana ni sawa na bomba la maji lililopasuka na kuvujisha maji barabarani.. Yale maji hayana mwenyewe.. Yeyote anaweza kuyatumia vyovyote
Taarifa zinazovuja zenyewe hurembwa, hutiwa nakshi na kuongezewa vikolombwezo vya kila aina kulingana na mahitaji ya mlengwa!
Hakuna siri ya mtu moja duniani.. Ni fikra finyu kuruhusu minong'ono itawale kuliko kuweka wazi.. Akili ya binadamu ni kitu kisichozuilika.. Ukiibania taarifa unaiongezea udadisi na mshawasha wa kutaka kujua zaidi.. Kujua kulikoni...
Minong'ono ya Msechu kujiandaa kuingia studio ni uzushi usiofaa kupewa kipaza sauti
Haya matibabu huwa ni magumu 😑 Mungu amfanyie wepesi kama ni kweli.
ona sasa nilijua tu ramli yako inauchuro ndani yake, kuna taarifa mbaya tayariIla leo sijapiga ramli (changanishi) mbona?
sio uzushi mkuu, huko appolo hali sio nzuri, mshana manyanga yake sio kabisaPuuzieni uzushi kama huu.
Wewe ni kati ya akili kubwa hapa jukwaani. Tunaendelea kusikiliza.Tetesi huanza na minong'ono.. Hiyo minong'ono ikikoma huwa tetesi na tetesi zikikoma huwa breaking news..!
Dunia ya sasa iko uchi kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia.. Dunia haina siri tena!
Unafanya jambo gizani.. Tena giza totoro kabisa lakini unakuja kushangaa jambo hilo linakuja kuwekwa upenuni peupe kwa picha safi kabisa
Kuficha taarifa yoyote kubwa inayoihusu Jamii haisaidii chochote.. Tunaweza kafanya hivyo kwa lengo maalum na sababu maalum lakini kwa dunia hii ya sasa.. Taarifa zinaweza kuvuja zenyewe bila hata kuvujishwa na yoyote yule
Kuna madhara makubwa kwenye taarifa kuvuja zenyewe.. Maana ni sawa na bomba la maji lililopasuka na kuvujisha maji barabarani.. Yale maji hayana mwenyewe.. Yeyote anaweza kuyatumia vyovyote
Taarifa zinazovuja zenyewe hurembwa, hutiwa nakshi na kuongezewa vikolombwezo vya kila aina kulingana na mahitaji ya mlengwa!
Hakuna siri ya mtu moja duniani.. Ni fikra finyu kuruhusu minong'ono itawale kuliko kuweka wazi.. Akili ya binadamu ni kitu kisichozuilika.. Ukiibania taarifa unaiongezea udadisi na mshawasha wa kutaka kujua zaidi.. Kujua kulikoni...
Minong'ono ya Msechu kujiandaa kuingia studio ni uzushi usiofaa kupewa kipaza sauti
Na suluhu huwa si suluhu ya kusuluhisha kila jambo, maana kuna suluhu yenye heri na kuna suluhu yenye shari.TETESI sio suluhu ya UMBEA