Mkude na Kotei hawatoshi mkuu?Kwa beki nakubaliana na wewe, Wawa na Juko watafute timu zingine
Naonekana sana, (hujui matukio hukutanisha watu waliopoteana mda mrefu?)Nimeiona Mtani. Ila umemisika maana unaonekana kutokana na matukio tu.
Yabidi niwe nakusaka aisee Mtani. (na kweli matukio ndio ukutanisha watu Mtani)Naonekana sana, (hujui matukio hukutanisha watu waliopoteana mda mrefu?)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie pia naungana na ww, nadhani ni wakati muafaka wa kutafuta beki ,tumekuwa na beki mbovu sana sio siriMkude na Kotei hawatoshi mkuu?Kwa beki nakubaliana na wewe, Wawa na Juko watafute timu zingine
Tatizo la timu za bongo zikianza kuishambulia timu moja kuchukua wachezaji wake ni hapo hapo. Wakati yanga ilipokuwa kwenye peak akili zao zilikuwa zimbabwe hasa platnum tuu , huu ugojwa simba wameambukizwa. Kama ana hela pale AS VITa kuna mitambo ambayo sii ya dunia hii ina speed na vipawa[/QUOTE
Watangazaji utasikia sengeeeee...simba moja
Huwezi kupigwa goli 5 kwa 5 halafu ukasema una beki.Mie pia naungana na ww, nadhani ni wakati muafaka wa kutafuta beki ,tumekuwa na beki mbovu sana sio siri
Mbona hawako AFCONKiufupi ndio kinara aliyeipeleka Gor Mahia robo fainali kama ilivyo kwa Kagere hapo Simba,CAFCC yeye ni miongoni mwa wafungaji bora na ameingia kwenye CAFCC Best XI kama forward.
Mbona hujaniuliza kuhusu Zambia, Togo, Sudan yenye Al Hilal au Burkina Faso ambazo zina soka?Rwanda sio pekee ambayo haipo AFCON. BTW wanaofuatilia soka la EA kiwango cha Tuisenge na Kagere (kwa uwezo wa kusajiri wa Simba) sio cha kuhoji ni cha kupigia mstari tu.Mbona hawako AFCON
Redio mbao hizo,bado ana mkataba Gor Mahia,yeye na Ajib watatangazwa rasmi kujiunga mikataba yao ikiisha July mwaka huuKwa taarifa nilizo sikia asubuhi kwenye redio moja kwenye kipindi cha michezo zinasema na yeye anaungana na kikosi cha Simba kinacho kwenda mjini Morogoro kujiandaa na mchezo kati yao na Mbao Fc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juuko aende ila wawa simba wajifikirie mara 2 mbili, ukimtoa nyoni wawa ni beki bora zaidi ssc.. Ni mpambanaji, kiongozi, muhamasishaji, muanzilishi mzuri wa mashambulizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtani wako anazunguuuuuka,mara aweke mabano mara abold. Aache mafumbo fumbo,au shungi lako linamtia domo zege?Yabidi niwe nakusaka aisee Mtani. (na kweli matukio ndio ukutanisha watu Mtani)
Kila la kheri katika kumkutanisha na huyo Mo wenu.
Asante, nakukumbusha mtani, kwenye mechi ya simba vs Tp mazembe, lazima uwe mzalendo tu , maana hakuna namna... ShadeeyaYabidi niwe nakusaka aisee Mtani. (na kweli matukio ndio ukutanisha watu Mtani)
Kila la kheri katika kumkutanisha na huyo Mo wenu.