OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #101
Tetea hoja yako,kumbuka hii ni Simba inayoshindana na TP Mazembe,Ah Ahl, As Vita nk. Kinachozingatiwa ni kiwango na biashara. Mpaka sasa inayo wazawa ndio hao kina Ndemla, Mo, Salamba nk wanarukaruka tu uwanjani. Wazawa wanaopiga kazi watapata chance tu,ndio hao kina Manula, Bocco, Mkude,Nyoni,Kapombe nkNi matumizi mabaya ya pesa za kigeni.kuacha wachezaji wa ndani na kukimbilia wachezaji wa kigeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa wa nje wana mchango mkubwa hoja yako haina sukari.Ni matumizi mabaya ya pesa za kigeni.kuacha wachezaji wa ndani na kukimbilia wachezaji wa kigeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie akutajie timu isiyo na wageni anayoijua na ina mafanikio kuzidi yenye wageni.Tetea hoja yako,kumbuka hii ni Simba inayoshindana na TP Mazembe,Ah Ahl, As Vita nk. Kinachozingatiwa ni kiwango na biashara. Mpaka sasa inayo wazawa ndio hao kina Ndemla, Mo, Salamba nk wanarukaruka tu uwanjani. Wazawa wanaopiga kazi watapata chance tu,ndio hao kina Manula, Bocco, Mkude,Nyoni,Kapombe nk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watangazaji utasikia sengeeeee...simba moja
Huyo left back anaenda kusaini mkataba? Haaaaa haaaaa.Maisha bana.Tuyisenge anakuja Simba..yule left back bora E.A anaenda S.A ...Zimbwe Jr anamtumia MO Na Manara aongezwe kwenye kikosi cha AFCON wakati Banda ataenda kama mbadala wa Mbaga
Yaani mmsajili Ajibu mmteme Okwi hii ni stupid businessSimba wawaache wachezaji wafuatao wa kigeni; asante kwasi, gyan, Juuko, na Okwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamtema bukaba unamwacha kikosini Yusuph Mlipili ?
Badala ya kumsajili Ajibu tumbadilishie majukumu Gyan uwezo wake ni sawa tu na Ajib
Majeraha ya Mara kwa Mara halafu Mwanjali hawezi kumfikia Wawa tuacheni ushabiki maandaziHapa ndo umenifumbua, nilikua najiuliza hivi simba wamemwachaje mwanjali
Sent using Jamii Forums mobile app
AS Vita nao wana hela zao, hawana haja ya kuuza wachezaji wao bongo. Kumbuka, walifika fainali ya Shirikisho mwaka jana tu, so bado wana chenji walizovuta CAFTatizo la timu za bongo zikianza kuishambulia timu moja kuchukua wachezaji wake ni hapo hapo. Wakati yanga ilipokuwa kwenye peak akili zao zilikuwa zimbabwe hasa platnum tuu , huu ugojwa simba wameambukizwa. Kama ana hela pale AS VITa kuna mitambo ambayo sii ya dunia hii ina speed na vipawa
mnabeba vizee kila siku mwisho itakuwa timu ya maveterani
Juuko aende ila wawa simba wajifikirie mara 2 mbili, ukimtoa nyoni wawa ni beki bora zaidi ssc.. Ni mpambanaji, kiongozi, muhamasishaji, muanzilishi mzuri wa mashambulizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jitu katili kutoka ghana!!!!....halikosei ilo.....Muda utaongeaAtatufaa sana JACK... wasisahau na defence pia middle mkabaji.
Sasa kama kazi za vijana zinafanywa na wazee kwann tusibebe?mnabeba vizee kila siku mwisho itakuwa timu ya maveterani
Anakwambia left bora EA... muulize kwa ubora upi?Huyo left back anaenda kusaini mkataba? Haaaaa haaaaa.
Acha porojo Zimbwe amecheza taifa huyo dogo yuko Azam.. alikuwa Zimbwe na Hajji Mwinyi.Maisha bana.Tuyisenge anakuja Simba..yule left back bora E.A anaenda S.A ...Zimbwe Jr anamtumia MO Na Manara aongezwe kwenye kikosi cha AFCON wakati Banda ataenda kama mbadala wa Mbaga
Hahahaaaa. LABDA.Huyo mtani wako anazunguuuuuka,mara aweke mabano mara abold. Aache mafumbo fumbo,au shungi lako linamtia domo zege?
c.c Therapist 2015