Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho, jersey zinatoka Kesho.Habari wadau
Inasemekana gsm wamegoma kutoa jezi mpya mpaka za zamani ziishe..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mashabiki wa Yanga awanapesa wala morali ya kununua jezi,mijezi ya msimu uliopita imedoda,na gsm inataka angalau apate hata nusu asara.
kuwekeza kwa Yanga ni asara kubwa sana.
Yaan wafuasi wa Mwalimu nguli wa madrassa Sijui mna matatizo gani tu!??Habari wadau
Inasemekana gsm wamegoma kutoa jezi mpya mpaka za zamani ziishe..
Mbumbumbu fc wanahangaika sana izi ni dalili nzuri kwa wananchi
Mbumbumbu fc wanahangaika sana izi ni dalili nzuri kwa wananchi
Huo uwongoHabari wadau
Inasemekana gsm wamegoma kutoa jezi mpya mpaka za zamani ziishe..
Hayo maneno umeyasikia wapi mkuu?wanasema wanasajili tu,mishahara itakuwa ni Yanga kama Yanga
Kuna jez mpya naiona mtaan sijui ni fek[emoji849]
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app