Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Mbona watakuwa wamemuonea Gwajiboy kwa sharti kama hilo la kumdhalilisha. Kuchanja ni hiyari na pia Gwajiboy alikuwa na msimano huu huu dhidi ya chanjo tangia enzi za Magufuli, nothing personal against Samia

In fact, Gwajima ndio ana intergrity kuliko wao ambao kipindi cha JPM waliponda chanjo na sawa wamebadili kauli

Yaani Polepole ambaye amefanya open rebellion mara nyingi licha ya kuonywa asifukuzwe afukuzwe Gwajima ?
 
Sheria itakuja, watoa huduma wote wa umma au binafsi lazima kuchanja, vinginevyo uta ruhusiwa kutoa huduma kwa kuwa utakuwa unahatarisha afya za uwahudumiao, hovyo kada zote kuanzia bar, wasanii, matabibu, madereva na makonda, wachungaji na mashehe, wenye migahawa na hotel, n.k.
Kama ataacha ubunge vipi uchungaji?
 
Heading ya thread ndefu kama riwaya.
Pascal Mayala, ungejikita kuuza kitabu chako sasa hivi ungekuwa na pesa.

Ona sasa unavyojiaibisha.
 
Nakumbuka Gwaji alivyo somba watu na magari yake ya kubebea waumini kanisani, Ilikuwa watu wanachukuliwa Bunju, Mbagala,Gongolamoto,Mbezi na kwingineko kuwapeleka Kawe wakajaze mikutano .

Nita shangaa kuona Gwaji akiachia ubunge kiulaini Kama nilivyo shangaa siku hizo askofu akicheza rafu ya siasa , kiongozi wa dini anaye paswa kuwa ni no moja kuhubiri Upendo,amani,mshikamano, na umoja.

Je! Atakubali gharama zake ziende hivyo hivyo??
 
Mambo huanza kama tetesi hivihivi,,ila itafika time tutajua ukweli...

Mkuu Pascal Mayalla wewe nae kwenye chama huna intelijensia yako kuweza kujua ukweli wa hizo info.
 
Unawajua TISS vyema huyu atatiwa ndani halafu kuna wenyewe watamtimbia ndani watamfira huyo hatoweza tena kupayuka achana kbs kucheza na sirikali waulize akina nani sijui yule walimuokota ana hawasha. Ama muulize yule alikuwa CUF alifanywa nini.
 
Pamoja na kuambulia kura moja bado unalitolea macho hilo bunge?
 
Gwajiboy kuachia ubungee? Kanisa lake maybe sasa linajitahidi ila ubunge kwake ilikuwa another source of income. Hawezi achia kirahisi.. ila anyway.. time will tell
Gwaji alilazimishwa na jiwe maana ni home boy wake kutokea kule koromitje
 
Adui muombee njaa si ndio?
 
Emdeleeni kukataa chanjo ili na sisi wachimba kaburi tuzidi kupata kazi za kutuingizia mkate
 
Mkuu mwanasiasa kukushangaza ni sekunde tu, kama huamini subiri utakapomkuta gwaji boy kwenye foleni ya kuchanja
 
Ishu ya gwajima ni mtambuka ..... kwa maana ccm wanaweza kuleta mpasuko mkubwa sana. ndani ya chama chao..
Ikubukwe nyuma ya gwajima kuna kundi kubwa la watu .. .ndani ya chama chao.
 
Kwanza wewe siyo kada wa CCM Bali Ni CHAWA wa CCM,
Pili wewe hukugombea Jimbo la kawe,Bali ulichukuwa fomu ya kura ya maoni kwenye ccm. na ukapata kura moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…