Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Swali kwa gwaji boy ni kwamba tunachaaanja au hatuchaaanji?[emoji23][emoji23]
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Jiandae kuchukua nafasi ya polepole maana nae ameshaweka msimamo kuwa hachanji. Kila la heri Bw. Paskali.
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Wangemtoa jiwe wakat anaongoza mapambano ya kupinga chanjo ya Covid-19!!

CCM wengi ni wanafki sana
 
Nadhani jimbo linarudi kwa Halima na atavua gwanda rasmi na kuvaa kijano njano.

Hii ya gwajima ilibidi iwe hivyo na ikizingatiwa wasukuma sasa hawana nafasi na yeye kajitengenezea nyavu mwenyewe ya kujinasa. Yaani watoto wa sifa politan mtoni wanasema " Kajipiga mkuki mwenyewe".

Lakini huyu jamaa kama asipotulia ataleta kelele nyingi sana. He is very controversial character. Hata JPM hakumkubali sana gwajima sema sababu ya character yake ya ubwakubwaku na kelele nyingi kupitia madhabahu ilibidi amtulize tuu awepo ndani ya team ya ushindi. Namuona akirudi chadema na kuongeza nguvu kwenye harakati za katiba mpya. Na.anaweza akalianzisha na Kifo cha magufuli maana huwa anapenda kiki sana.
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Kagombee tena mkuu zamu hii yako

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Wewe siyo kada Ila ni opportunist Kama Zitto. Ikitokea chadema wakashika dola itahamia chadema
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali

Wewe kama professional journalist, is this not disservice to the profession? Ni sahihi kuishia hapa ulipoishia?
 
Paskali acha kuleta mkanganyiko..

Hata kama ni kweli Gwaji boy anamwagwa sio kwa sababu hiyo....sababu pekee itakuwa ni kwenda tofauti na msimamo wa chama anachokitumikia pamoja na kupingana na mamlaka ilihali yeye ni mbunge wa chama ambacho serikali inatekeleza ilani yake...labda pia alipoitwa kuhojiwa hakutoa ushirikiano..

Kama ni kweli basi ni kheri tu maana hata Membe alifurushwa na yeye ni miongozi mwa walioshangilia..
 
Sina shaka na tetesi zako...

Hii inaonyesha raia kuchanja kwa hiari muitikio umekuwa mdogo sana hivyo wanatafuta jinsi ya kulazimisha...

Binafsi nasimama na Gwajima mpaka mwisho, acha wamvue tu Ubunge ili ndani ya CCM tuone panapovuja.

Hela za Corona zinamasharti magumu sana.
Mkuu kwa uchache tutajie hayo masharti.
 
Back
Top Bottom