Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Angalau leo nimekubaliana nawe kuhusu chama chako.Sifa ulizokipa ni zake hawa, fitna,mizengwe, uzushi, sayansi jamii, hata kupona na kupotezana mnaweza na unafiki kama kachumbari yenu. Hongera kwa hilo.
 
hawezi pokwa jimbo kirahisi ivo wewe!!...ndo kwaaanz watampa kichwa na Umaarufu !! wasijaribu huo ujinga wa kitoto! lkn weee jamaa nilikuona mtu makini lkn sasa naona paskali unazeeka sasa......
 
Nadhani jimbo linarudi kwa Halima na atavua gwanda rasmi na kuvaa kijano njano.

Hii ya gwajima ilibidi iwe hivyo na ikizingatiwa wasukuma sasa hawana nafasi na yeye kajitengenezea nyavu mwenyewe ya kujinasa. Yaani watoto wa sifa politan mtoni wanasema " Kajipiga mkuki mwenyewe".

Lakini huyu jamaa kama asipotulia ataleta kelele nyingi sana. He is very controversial character. Hata JPM hakumkubali sana gwajima sema sababu ya character yake ya ubwakubwaku na kelele nyingi kupitia madhabahu ilibidi amtulize tuu awepo ndani ya team ya ushindi. Namuona akirudi chadema na kuongeza nguvu kwenye harakati za katiba mpya. Na.anaweza akalianzisha na Kifo cha magufuli maana huwa anapenda kiki sana.

Halima akivaa kijani huko Kawe itabidi kura za maboksi zitumike kumpitisha.

Gwajima siasa ndio basi tena. Waliomweka CCM na Kawe (jiwe na bashite) hawapo kwenye ramani tena. Bora aendelee na kipaji chake cha kugawa ufufuo na uzima tu.
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Gwajima is dead and buried!
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Chanjo ni bora maradufu kuliko kutochanja.....
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Ubunge anavuliwa kwa sheria ipi? Si tulikubaliana mtu anaweza kuwa mbunge bila chama cc. Covid 19.

Sheria ni msumeno jana kwa CHADEMA leo ni zamu ya CCM.
 
Sheria itakuja, watoa huduma wote wa umma au binafsi lazima kuchanja, vinginevyo uta ruhusiwa kutoa huduma kwa kuwa utakuwa unahatarisha afya za uwahudumiao, hovyo kada zote kuanzia bar, wasanii, matabibu, madereva na makonda, wachungaji na mashehe, wenye migahawa na hotel, n.k.
Kama ataacha ubunge vipi uchungaji?
Kuna vitu huwa vinashangaza sana, Kanisani kwa Gwajima wanakaa kwa mara moja zaidi ya watu elfu nne na hakuna hata mmoja anae vaa barakoa wala alietangaza kuchanja.

Tangu Korona itangazwe duniani hakuna anae vaa barakoa sasa kama hiyo korona ni tishio kama inavyoimbwa si ingeua wale waumini na kama wangekuwa wanaugua au kufa amini nakuambia hakuna mtu angeenda pale maana kila mmoja angetaka kuokoa maisha yake lakini kwasababu wanaendelea kwenda kwa wingi uleule jua ya kuwa aidha imani yao na Mungu wao ni thabiti au Korona ni stori ya kutengeneza ili watu wapige hela.

CCM wamegeuka madalali wa kuuza na kutangaza chanjo za korona ili wapate mikopo ni aibu sana watu haohao mwezi January walikuwa hawakubali kabisa kuhusu chanjo wala Korona leo hii ndio madalali wa chanjo.
 
Emdeleeni kukataa chanjo ili na sisi wachimba kaburi tuzidi kupata kazi za kutuingizia mkate
Watatu kati ya kumi wanaokufa kwa korona wamechanjwa hivyo kuchanjwa hakuzuii kufa wala kuugua na ukweli ni kuwa itakubidi uchanje kila baada ya miezi 12 ili kuboost chanjo.
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
Unadhani kuchalala kwako kumesababishwa na corona au ni siasa za kishamba za awamu ya 5 zilizosababisha wenye hela kujiondokea zao ?
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niligombea ubunge wa jimbo la Kawe, na Wajumbe wakafanya yao, naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source.

Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Kama tetesi hii ni kweli, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?.

Kama ni msimamo wake kupinga chanjo ya Corona, kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.

Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga kwa facts na wasikilizwe.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu ila pia with Chama changu CCM, mambo ya fitna, majungu na zengwe, anything is possible!.

Lets wait and see.

Paskali
mwandishi nguli kama wewe sio wa kutuletea habari ambazo vyanzo vyake sio reliable!
mkongwe katika tasnia umeshindwa kufanya uchunguzi na kutuletea habari kamili?
Hii ni anguko kwako, wewe sio wa kutuletea tetesi humu jf
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni hakuna namna, ili mtu upite katika mchakato kama huo, ni lazima ufanye mambo!.
Hivyo naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kuomba tena tiketi ya kusimamishwa na chama changu CCM, kuwania kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu, ila kwa vile mwaka 2022 ni mwaka wa uchaguzi wa ndani wa CCM, nitawania nafasi ambazo wajumbe sio determinant.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source, zinaweza kuwa ni za kweli, au sometimes ni uongo, uzushi, fitna na majungu tuu!. Mimi kama mwandishi wa habari, ukipata tetesi kama hii, nilipaswa kuitreat as a news tip, nilitakiwa kuifanyia kazi kwa kui verifies kwa kui check na cross check from reliable sources, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye the world of information age, na sisi mtandao huu wa jf, kwa miaka mingi umejitengea reputation ya be the first to know, nimeileta hii humu jf, kukupa wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know. Na kwa msio nifahamu, hii sio mara yangu ya kwanza kuleta tetesi humu jf, halafu tetesi hiyo ikaja kuwa kweli. Wakati Watanzania wakisubiria kumjua mgombea urais wa CCM wa uchaguzi Mkuu wa 2015, wana jf walikuwa wa kwanza kumjua, wao walimjua toka mwaka 2014!.

Chanzo cha Tetesi
Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Japo mimi ni naunga mkono chanjo na siungi mkono viongozi wa umma kugomea chanjo waziwazi na hadharani



Kama tetesi hii ni kweli, kwa vile chanjo ni hiyari, jee kwenye hili la chanjo, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?!.

Kama ni msimamo wake ni kupinga chanjo ya Corona, waziwazi kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.
Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga chanjo with facts na wasikilizwe na sio watishiwe kupokwa ubunge!.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu, nilidhani JPM alimaliza yale mambo ya Chama changu CCM, kugubikwa na mambo ya majungu, fitna, zengwe, na zile sayansi jamii!. Namuomba Mwenyekiti wangu atumie kiti, asiruhusu hili litokee, japo with CCM, anything is possible!, maana nikiikumbuka ile list ya watu 176, na kulikuwa na watu wazuri ajabu, very credible, unashangaa aliyepitishwa alipita pitaje, hivyo pia sitashangaa kama utatumika mlango ule ule alioingilia, kutokea!.

Lets wait and see.

Nawatakia maandalizi mema ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya.

Paskali
Chalz mwenzio kala uteuzi ikulu sijui wewe watakukumbuka lini
 
Sina shaka na tetesi zako...

Hii inaonyesha raia kuchanja kwa hiari muitikio umekuwa mdogo sana hivyo wanatafuta jinsi ya kulazimisha...

Binafsi nasimama na Gwajima mpaka mwisho, acha wamvue tu Ubunge ili ndani ya CCM tuone panapovuja.

Hela za Corona zinamasharti magumu sana.
We endelea kusimamanae, lakini tunamfukuza chamani
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni hakuna namna, ili mtu upite katika mchakato kama huo, ni lazima ufanye mambo!.
Hivyo naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kuomba tena tiketi ya kusimamishwa na chama changu CCM, kuwania kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu, ila kwa vile mwaka 2022 ni mwaka wa uchaguzi wa ndani wa CCM, nitawania nafasi ambazo wajumbe sio determinant.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source, zinaweza kuwa ni za kweli, au sometimes ni uongo, uzushi, fitna na majungu tuu!. Mimi kama mwandishi wa habari, ukipata tetesi kama hii, nilipaswa kuitreat as a news tip, nilitakiwa kuifanyia kazi kwa kui verifies kwa kui check na cross check from reliable sources, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye the world of information age, na sisi mtandao huu wa jf, kwa miaka mingi umejitengea reputation ya be the first to know, nimeileta hii humu jf, kukupa wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know. Na kwa msio nifahamu, hii sio mara yangu ya kwanza kuleta tetesi humu jf, halafu tetesi hiyo ikaja kuwa kweli. Wakati Watanzania wakisubiria kumjua mgombea urais wa CCM wa uchaguzi Mkuu wa 2015, wana jf walikuwa wa kwanza kumjua, wao walimjua toka mwaka 2014!.

Chanzo cha Tetesi
Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Japo mimi ni naunga mkono chanjo na siungi mkono viongozi wa umma kugomea chanjo waziwazi na hadharani



Kama tetesi hii ni kweli, kwa vile chanjo ni hiyari, jee kwenye hili la chanjo, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?!.

Kama ni msimamo wake ni kupinga chanjo ya Corona, waziwazi kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.
Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga chanjo with facts na wasikilizwe na sio watishiwe kupokwa ubunge!.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu, nilidhani JPM alimaliza yale mambo ya Chama changu CCM, kugubikwa na mambo ya majungu, fitna, zengwe, na zile sayansi jamii!. Namuomba Mwenyekiti wangu atumie kiti, asiruhusu hili litokee, japo with CCM, anything is possible!, maana nikiikumbuka ile list ya watu 176, na kulikuwa na watu wazuri ajabu, very credible, unashangaa aliyepitishwa alipita pitaje, hivyo pia sitashangaa kama utatumika mlango ule ule alioingilia, kutokea!.

Lets wait and see.

Nawatakia maandalizi mema ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya.

Paskali
Huu ni unafiki
 
Back
Top Bottom