Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kuogopa mkuu.Kumbe Netanyau nae amehepa,
hawa wayahudi sijui kwanini waoga kiasi hiki,
yaani anakuja kenya kwa kuvizia vizia anaogopa sniper
Wangempopoa na mishale ingependeza zaidi.
Morani are making a political statement kwa rais asiyetambua uhusioana wa maasai Kenya na Tanzania.Hao morani wana akili za ajabu kweli.... Walikuwa na hakika kwamba angekwenda kwa gari?
Intelejensia yetu