Japhet Davies
Member
- May 12, 2013
- 71
- 8
Hivi kuna ukweli wowote kwamba matokeo yata tolewa wiki ijayo??
Wakuu mwenye tetesi naomba anijuze
Wakuu mwenye tetesi naomba anijuze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaharaka sanaaa?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hivi kuna ukweli wowote kwamba matokeo yata tolewa wiki ijayo??
Wakuu mwenye tetesi naomba anijuze
wewe nawe punguza spidi,kila siku hapa unakuja na hoja hii..!unataka tetesi za matokeo ili zikusaidie nn?yakitoka utasikia tu..tulia kijana
Zingekuwa hazina msaada nisinge ulizia mkuu
Zingekuwa hazina msaada nisinge ulizia mkuu
Unaelewa maana ya
tetesi? .tetesi ni habari ambazo hazina uhakika, sasa wewe habari za
matokeo zisizo na uhakika zitakusaidia nini au unalazimisha watu
wakudanganye ili uridhike?.kama ulipata div 5 (zero ) usitegemee
mabadiliko ya kukufanya uende form 5.
Hivi kuna ukweli wowote kwamba matokeo yata tolewa wiki ijayo??
Wakuu mwenye tetesi naomba anijuze
Tume choka kukaa nyumbani mkuu
Hahahaaaa!? Sasa akisha kaa porini alafu ndio iweje?
Unaelewa maana ya tetesi? .tetesi ni habari ambazo hazina uhakika, sasa wewe habari za matokeo zisizo na uhakika zitakusaidia nini au unalazimisha watu wakudanganye ili uridhike?.kama ulipata div 5 (zero ) usitegemee mabadiliko ya kukufanya uende form 5.
ndo hapo sasa labda aliwe na wanyama!
wakuu ukichangia hoja jaribu kufikiria kwanza sio unaropoka tu from nowhere,huyo kijana hajakosea kama alikosea ni kumrekebisha na sio kumkejeli kiasi hicho! kumbuka leo kwake kesho kwako!