Tetesi: Mbowe kustaafu Uenyekiti Chadema Desemba 2020 na kumwachia kijiti makamu wake Tundu Lissu

Tetesi: Mbowe kustaafu Uenyekiti Chadema Desemba 2020 na kumwachia kijiti makamu wake Tundu Lissu

hivi ni kipi kilichopo kwa huyo mzee Mgaya cha muhimu sana hadi jamaa amtumie muda wote, au huyo Mgaya ameifanyia nuni Tanzania hii hadi muda wote atumue mawazo yake?

Jamaa ameoa kwa mzee Mgaya, hivyo anampa promo baba mkwe wake hapa jf. Ila si haba maana mkewe akiona uzi kuhusu maoni ya baba yake, jamaa anazidi kuboresha penzi huko nyumbani.
 
muhimu ni kuhakikisha Chadema inapata wabunge na madiwani wa
Mbona ameshindwa kuwapata wajumbe na wenyeviti wa serikali za mitaa? Kwenye uchaguzi mkuu atakuwa na tume yake huru ya uchaguzi? Kama hakuna majibu ya maswali haya 2, na kama kauli yako hii ni ya kweli basi Mbowe atakuwa anawaongopea wenzake.
 
Hizi ni habari njema kwa wapenda demokrasia, wapenda mabadiliko na wapenda maendeleo wote kwamba mh Mbowe endapo atachaguliwa tena kuwa Mwenyekiti basi atakaa madarakani kwa mwaka mmoja tu kisha atajiuzulu na kumuachia uongozi Tundu Antipas Lisu.

Mtoa habari wangu ambaye sitamtaja kwa sasa hadi hapo baadae ameniambia Mbowe binafsi anajisikia kung'atuka lakini kuna mambo ya kukamilisha kwanza na muhimu ni kuhakikisha Chadema inapata wabunge na madiwani wa kutosha katika uchaguzi mkuu.

Mwenyekiti anataka kuiacha Chadema ikiwa na rekodi bora zaidi kuizidi ile iliyosababishwa na ujio wa mzee Lowassa mwaka 2015, amesisitiza kamanda huyo wa Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna watu kama wewe........ unapata ahueni!
Mbowe atawaumiza sana. Huwezi kumwachia mtu "mpuuzi" chama kama mlivyofanya kumwachia huyo ambaye chama sasa ni mali yake kama kuku wake kijijini! Chama umpe Mwambe, wapi na wapi? Utoke CCM kwa vile wamekutema, uje CDM upewe chama, NEVER! Nenda kwa Zito, TLP au rudi nyumbani CCM!
 
Umeleta huu uzi hapa jukwaani, je umewauliza mzee Mgaya na mchungaji Erasto kuhusu hizi tetesi? Mbona unajiamulia mambo bila kuwashirikisha hao jamaa?
Mzee Mgaya kapewa barua na Mnyika ampelekee Dr Bashiru....... Tusubiri!
 
Kuna watu kama wewe........ unapata ahueni!
Mbowe atawaumiza sana. Huwezi kumwachia mtu "mpuuzi" chama kama mlivyofanya kumwachia huyo ambaye chama sasa ni mali yake kama kuku wake kijijini! Chama umpe Mwambe, wapi na wapi? Utoke CCM kwa vile wamekutema, uje CDM upewe chama, NEVER! Nenda kwa Zito, TLP au rudi nyumbani CCM!
Kwani Lowassa mlivyompigia deki alikuwa anatokea wapi?!
 
we mama wa kizaramo umezidi umbea ¡¡Its too much yaan unamtaja Mbowe mara nyingi kuliko mumeo aliyekutolea mahali? You're such à shamelessly woman.
Ukiwa mwanasiasa ni lazima uwe na ngozi ngumu kama wewe unavyomtajia kidume kibajaji kila uchwao!
 
hivi ni kipi kilichopo kwa huyo mzee Mgaya cha muhimu sana hadi jamaa amtumie muda wote, au huyo Mgaya ameifanyia nuni Tanzania hii hadi muda wote atumue mawazo yake?
Mbona Lisu tunaheshimu mawazo yake kwani amelifanyia taifa mambo gani?!!
 
Jamaa ameoa kwa mzee Mgaya, hivyo anampa promo baba mkwe wake hapa jf. Ila si haba maana mkewe akiona uzi kuhusu maoni ya baba yake, jamaa anazidi kuboresha penzi huko nyumbani.
Hahahaaa......... Kama mbowe na mzee Mtei!
 
Kasahau nini cha kumweka hadi 2020 ? au anataka aache chama hakina pesa .
 
Hakupewa Chama, Lowasa ingelikuwa siyo mifarakano ya ndani ya CCM, angelikuwa rais. ndiyo maana Mdee alisema urais wa Jiwe ni ngekewa!
Na Uenyekiti wa Mwambe unaweza kuwa ngekewa hivyo hivyo!
 
Mkuu Yohana Mbatizaji, kama hii tetesi ni kweli, then ataondoka kwa aibu na huku amenyongonyea sana, kwasababu ule wembe uliotumika kuwanyolea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni ule ule utatumika uchaguzi wa 2020.

I'm afraid, kwa 2020, the time left is too little too late!.


Hata yeye tu mwenyewe kuretain jimbo la Hai ni mashaka!. Mbunge mtarajiwa wa Hai kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM ni huyu...


Hivyo atakachokabidhi hiyo 2020 sio Chadema kama chama, bali ni skeleton ya iliyokuwa chama cha Chadema!.

P
ahsante mjomba umemaliza kila kitu na ndiyo ukweli huo
 
Back
Top Bottom