hivi ni kipi kilichopo kwa huyo mzee Mgaya cha muhimu sana hadi jamaa amtumie muda wote, au huyo Mgaya ameifanyia nuni Tanzania hii hadi muda wote atumue mawazo yake?
Mbona ameshindwa kuwapata wajumbe na wenyeviti wa serikali za mitaa? Kwenye uchaguzi mkuu atakuwa na tume yake huru ya uchaguzi? Kama hakuna majibu ya maswali haya 2, na kama kauli yako hii ni ya kweli basi Mbowe atakuwa anawaongopea wenzake.muhimu ni kuhakikisha Chadema inapata wabunge na madiwani wa
Kuna watu kama wewe........ unapata ahueni!Hizi ni habari njema kwa wapenda demokrasia, wapenda mabadiliko na wapenda maendeleo wote kwamba mh Mbowe endapo atachaguliwa tena kuwa Mwenyekiti basi atakaa madarakani kwa mwaka mmoja tu kisha atajiuzulu na kumuachia uongozi Tundu Antipas Lisu.
Mtoa habari wangu ambaye sitamtaja kwa sasa hadi hapo baadae ameniambia Mbowe binafsi anajisikia kung'atuka lakini kuna mambo ya kukamilisha kwanza na muhimu ni kuhakikisha Chadema inapata wabunge na madiwani wa kutosha katika uchaguzi mkuu.
Mwenyekiti anataka kuiacha Chadema ikiwa na rekodi bora zaidi kuizidi ile iliyosababishwa na ujio wa mzee Lowassa mwaka 2015, amesisitiza kamanda huyo wa Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Mzee Mgaya kapewa barua na Mnyika ampelekee Dr Bashiru....... Tusubiri!Umeleta huu uzi hapa jukwaani, je umewauliza mzee Mgaya na mchungaji Erasto kuhusu hizi tetesi? Mbona unajiamulia mambo bila kuwashirikisha hao jamaa?
Kwani Lowassa mlivyompigia deki alikuwa anatokea wapi?!Kuna watu kama wewe........ unapata ahueni!
Mbowe atawaumiza sana. Huwezi kumwachia mtu "mpuuzi" chama kama mlivyofanya kumwachia huyo ambaye chama sasa ni mali yake kama kuku wake kijijini! Chama umpe Mwambe, wapi na wapi? Utoke CCM kwa vile wamekutema, uje CDM upewe chama, NEVER! Nenda kwa Zito, TLP au rudi nyumbani CCM!
Mzee Mgaya kapewa barua na Mnyika ampelekee Dr Bashiru....... Tusubiri!
Hakupewa Chama, Lowasa ingelikuwa siyo mifarakano ya ndani ya CCM, angelikuwa rais. ndiyo maana Mdee alisema urais wa Jiwe ni ngekewa!Kwani Lowassa mlivyompigia deki alikuwa anatokea wapi?!
Ukiwa mwanasiasa ni lazima uwe na ngozi ngumu kama wewe unavyomtajia kidume kibajaji kila uchwao!we mama wa kizaramo umezidi umbea ¡¡Its too much yaan unamtaja Mbowe mara nyingi kuliko mumeo aliyekutolea mahali? You're such à shamelessly woman.
Kwani Lowassa mlivyompigia deki alikuwa anatokea wapi?!
Hahahaaa......... Mchungaji Erasto anaenda kuchukua ya mke wa Kafulila aka Tumbiri!Mchungaji Erasto naye akachukue ya mke wa Mnyika ampelekee Magufuli kabisa.
Mbona Lisu tunaheshimu mawazo yake kwani amelifanyia taifa mambo gani?!!hivi ni kipi kilichopo kwa huyo mzee Mgaya cha muhimu sana hadi jamaa amtumie muda wote, au huyo Mgaya ameifanyia nuni Tanzania hii hadi muda wote atumue mawazo yake?
Hahahaaa......... Kama mbowe na mzee Mtei!Jamaa ameoa kwa mzee Mgaya, hivyo anampa promo baba mkwe wake hapa jf. Ila si haba maana mkewe akiona uzi kuhusu maoni ya baba yake, jamaa anazidi kuboresha penzi huko nyumbani.
Heche katibu mkuu mpya ni miongoni mwa waliopiga deki pale Musoma!Alipigiwa deki na aliowalipa, wale waliokuwa wanapiga deki kwao ilikuwa ni fursa.
Na Uenyekiti wa Mwambe unaweza kuwa ngekewa hivyo hivyo!Hakupewa Chama, Lowasa ingelikuwa siyo mifarakano ya ndani ya CCM, angelikuwa rais. ndiyo maana Mdee alisema urais wa Jiwe ni ngekewa!
ahsante mjomba umemaliza kila kitu na ndiyo ukweli huoMkuu Yohana Mbatizaji, kama hii tetesi ni kweli, then ataondoka kwa aibu na huku amenyongonyea sana, kwasababu ule wembe uliotumika kuwanyolea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni ule ule utatumika uchaguzi wa 2020.
I'm afraid, kwa 2020, the time left is too little too late!.
Uchaguzi 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Wanabodi, Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020...www.jamiiforums.com
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
Hata yeye tu mwenyewe kuretain jimbo la Hai ni mashaka!. Mbunge mtarajiwa wa Hai kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, CCM ni huyu...
Kiukweli kabisa, DC Jerry Murro, yuko vizuri!, ni visionary leader mwenye vision, mission, uwezo na kipaji. Anastahili kuwa RC, atakuwa kama Mtaka!.
Wanabodi, Declaration of Interest Jerry Murro, namfahamu vizuri, sio tuu kama mwandishi na mtangazaji mwenzagu, bali tangu alipokuwa UDSM, utangazaji wangu ndio ulikuwa inspiration kwake kuingia fani ya utangazaji, hivyo hapa namsifu sio kwa sababu namjua au kutaka kumfagilia, bali baada ya...www.jamiiforums.com
Hivyo atakachokabidhi hiyo 2020 sio Chadema kama chama, bali ni skeleton ya iliyokuwa chama cha Chadema!.
P
basi wameshamshtukia hapati! Anajisumbua. Inner circles bahati nzuri wanalijua hilo!Na Uenyekiti wa Mwambe unaweza kuwa ngekewa hivyo hivyo!
Kuna bilioni 2 za ruzuku hadi kufikia June, 2020!Kasahau nini cha kumweka hadi 2020 ? au anataka aache chama hakina pesa .