Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Unaeza kutusaidia hata picha kdgKwa wasiojua huo uwanja uko kilometa kadhaa nje ya mji wa singida kijiji cha igauri kuelekea ilongero. Uwanja upo peke yake vichakani labda watu watajenga vitega uchumi vyao jirani na uwanja angalau ionekane ni senta. Kwa uzinduzi huo mashabiki watasafiri kwenda huko nje ya mji na watazoea tu kwenda huko kunako mechi za singida black stars
huo uwanja ni kichekesho wakati napita hapo nilikaribia niuone, upo kando ya barabara ya kwenda ilongero/mtinko, Singida DC. Kwa sasa sijui ukoje, labda AIRTEL wameupaka rangi na kujenga majukwa na pichi nzuri, ila upo vichakani nje ya mji wa SingidaUnaeza kutusaidia hata picha kdg
Na kuweka viti vya vyuma watu wakaehuo uwanja ni kichekesho wakati napita hapo nilikaribia niuone, upo kando ya barabara ya kwenda ilongero/mtinko, Singida DC. Kwa sasa sijui ukoje, labda AIRTEL wameupaka rangi na kujenga majukwa na pichi nzuri, ila upo vichakani nje ya mji wa Singida
Ili wasamehe kodi na mwenye timu ni hiyo ni rushwa kubwa na ya wazi kama ni kweli!Timu ya Singida Black Stars inatarajia kuzindua uwanja wake mkoani Singida, uzinduzi utafanyika Marchi 24 kwa mchezo wa Kirafiki dhidi ya Yanga SC.
Uwanja unaitwa AIRTEL STADIUM ambao wao ndio wameujenga kwa kushirikiana na wengine kama Azam, GSM, NBC, SBS na MO DEWJI.
Credit: Nassib Mkomwa
Nakumbuka hata Azam Complex haukujengwa kwa mayowe ilikua kimya kimya.Kwamba wanaujenga usiku, hauonekani mchana ?
Hahahaha! Tanzania inafurahisha sana. Ina maana hakuna hata picha ya uwanja umezungushiwa mabati hata kwa mbali kama walikuwa wanakataza kupiga picha.Kwamba wanaujenga usiku, hauonekani mchana ?
Na eneo ulipo tukapate ajira ya kumwaga zegeElezea kidogo miundombinu ya uwanja. Una ukubwa gani (una uwezo wa kuingia watu wangapi?) Una viwango vya kimataifa? Utafaa kuchezewa mechi za caf zijazo?
Jua likiwa kali watu watakaaje maana vyima vitachemka, au makalio ndiyo yatapoza hilo joto.Na kuweka viti vya vyuma watu wakae
Unasimama kushangiliaJua likiwa kali watu watakaaje maana vyima vitachemka, au makalio ndiyo yatapoza hilo joto.