TETESI: Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu kujiuzulu muda wowote kuanzia sasa

Tatizo lako ushabiki mandazi na mpira umeanza kushabikia ukubwani ulipojuwa kubeti, tafuta kazi ya maana kubeti siyo kazi utakufa masikini ha ha haaaa.
Wewe ni lofa, unajua kila mmoja ni afisa ubashiri kama ulivyo wewe? Kwa taarifa yako tu, mimi bado mdogo hata sijakua kama unavyonitafsiri wewe!
 
Wewe ni lofa, unajua kila mmoja ni afisa ubashiri kama ulivyo wewe? Kwa taarifa yako tu, mimi bado mdogo hata sijakua kama unavyonitafsiri wewe!
Uwe mdogo uwe mkubwa utajuwa wew na maisha yako.., masikini ndiyo kazi zenu., tafuta hela usije ukawalaum waliokuzaa.
 
Si mlimchagua wenyewe baada ya kumleta Manzoki??

Na alisema aliwaahidi kumchapa mtani na alimchapa, mkampa kura zenu mkisema hamumdai na hana baya( kama ilivyo desturi yenu).

Leo mnamgeuka tena dooh
 
Ndo maana TFF imesogeza mbele mechi yetu against Azam ili tumalize kwanza hili la akina Mangungu.

Na hawatoki hivi hivi. Wanatoka kwa bakora wakawaonyeshe wake zao huko home. Nyambafu!
Wenye akili ni wawili tu[emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
 
Sawa mim ni lofa ila wew ni Masikini., narudia tena wew ni Masikini wa akili na Mali mbwa wew.,
Last born halafu lofa, wasalimie kanda maalumu huko[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tumezidiwa katika biashara,mazonge zonge na fitna za soka.
Wenzetu wanatumia pesa zinazochotwa serikalini kuhakikisha wanamiliki soka la ndani.
Simba inaweza kuwa inashindana na nguvu kubwa siyo ya kisoka bali ya unazi wa maguru wa ufisadi serikalini.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Last born halafu lofa, wasalimie kanda maalumu huko[emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha haaaa.., Jitahidi sana kijana wangu uwe na akili, akili hiyo itakuwezesha kupata mafanikio na utaondokana na umasikini. Ila ukiendelea na akili zako hizo shauli yako wakati hata chakurithi hapo kwenu hakuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…