Sema last born unajua kubagaza kama umekulia Buza [emoji23] [emoji23]Ha ha haaaa.., Jitahidi sana kijana wangu uwe na akili, akili hiyo itakuwezesha kupata mafanikio na utaondokana na umasikini. Ila ukiendelea na akili zako hizo shauli yako wakati hata chakurithi hapo kwenu hakuna.
Una uhakika na unachokisema hapa bibie?Tumezidiwa katika biashara,mazonge zonge na fitna za soka.
Wenzetu wanatumia pesa zinazochotwa serikalini kuhakikisha wanamiliki soka la ndani.
Simba inaweza kuwa inashindana na nguvu kubwa siyo ya kisoka bali ya unazi wa maguru wa ufisadi serikalini.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Unaanza kuharisha uharo kama kawaida yako.Tumezidiwa katika biashara,mazonge zonge na fitna za soka.
Wenzetu wanatumia pesa zinazochotwa serikalini kuhakikisha wanamiliki soka la ndani.
Simba inaweza kuwa inashindana na nguvu kubwa siyo ya kisoka bali ya unazi wa maguru wa ufisadi serikalini.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Na ni mtu wa karibu wa Mzee wa MsogaAisee huyu Mangungo huwa sikuelewi...na ukizingatia alikuwa Mbunge wa CCM!
Utajuwa wew.., maana wakuja siku zote huwa mnajifanya wajuaji kumbe hamnamo. Kukaa kwa shemeji yako hapo na wew ukaona umeyawin. Tafuta fuedha, tafuta fuedha tafuta fuedha kijana. Naamin kabisa wew ni more than regular people 100%.Sema last born unajua kubagaza kama umekulia Buza [emoji23] [emoji23]
Huyo ndio kawaida yake kuchafua watu pale timu yake inapofanya vibaya,hawataki kukubali ukweli kuwa Yanga imewazidi ubora.Una uhakika na unachokisema hapa bibie?
Mimi hata kwenye watu 'regular' sipo lakini sio lofa kama wewe na ulast born wako [emoji3][emoji3][emoji3]Utajuwa wew.., maana wakuja siku zote huwa mnajifanya wajuaji kumbe hamnamo. Kukaa kwa shemeji yako hapo na wew ukaona umeyawin. Tafuta fuedha, tafuta fuedha tafuta fuedha kijana. Naamin kabisa wew ni more than regular people 100%.
Kaka Yaseme Hapa Jukwaani kwetu, tujue mbivu na mbichi!Nikipata nafasi nitaandika upupu wote kuanzia Mo, mangungu, Try again, Body ya kurugenzi, na Benchi la ufundi scauti na analyst wao.
Unaijua njaaa wewe?Mo aondoke na bodi yake yote .
Sikilza Bro Simba hapendwi mtu..Si mlimchagua wenyewe baada ya kumleta Manzoki??
Na alisema aliwaahidi kumchapa mtani na alimchapa, mkampa kura zenu mkisema hamumdai na hana baya( kama ilivyo desturi yenu).
Leo mnamgeuka tena dooh
InawezekanaKama heading inavyojieleza kwa story za jikoni kabisa na tetesi nilizozipata kutoka ndani ya Simba zinaeleza, mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu amepewa saa kadhaa ya kujiuzulu nafasi yake.
Viongozi na wajumbe na wanachama wa Simba wameanza kunyoosheana vidole wakituhumiana kwa usaliti ndani ya klabu.
Stay turned...View attachment 2806883
Ikiwezekana Wanachama wafike klabuni watekeleze hili mkuu...Huyo Mangungu na Try again wanastahili bakora za kutosha kabisaNdo maana TFF imesogeza mbele mechi yetu against Azam ili tumalize kwanza hili la akina Mangungu.
Na hawatoki hivi hivi. Wanatoka kwa bakora wakawaonyeshe wake zao huko home. Nyambafu!
Mangungu akijiuzulu akabaki Jaribu Tena taabu itakuwa palepale, yule ndo 10% Master.Nikipata nafasi nitaandika upupu wote kuanzia Mo, mangungu, Try again, Body ya kurugenzi, na Benchi la ufundi scauti na analyst wao.
Sajilini Wachezaji wazuri acheni kuokoteza na kutafuta visababu.Tumezidiwa katika biashara,mazonge zonge na fitna za soka.
Wenzetu wanatumia pesa zinazochotwa serikalini kuhakikisha wanamiliki soka la ndani.
Simba inaweza kuwa inashindana na nguvu kubwa siyo ya kisoka bali ya unazi wa maguru wa ufisadi serikalini.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hana anachojua uyo ni mpiga ramli tu!!Kaka Yaseme Hapa Jukwaani kwetu, tujue mbivu na mbichi!