Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
FAKE NEWS
Who are you to conclude and to nullify the news
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who are you to conclude and to nullify the news
Kwani kumpigia kampeni Nyalandu ni dhambi?!
Hivi Lisu yuko kwenye vikao au karantini?
Suzan Kiwangwa ndiye anamtaka Lissu kuliko yeyote yule ndani ya chama.. yani imebidi nicheke aisee
FAKE NEWS!
hata wangemuacha tu lissu lazima apite tu alafu ni busara nyarandu anajua tu kwa sasa watanzaia wanataka nini so vyema Kesho akamuunge mkono ndugu yake ,kwa kufanya hivyo atakua amejitengenezea sifa kubwa sana why mnajenga nyumba moja mna gombea fito ?*Kutoka Mlimani City*
Mbunge Wa Mlimba Susan Kiwanga Anusulika Kipigo Kutoka Kwa Vijana Wa Chadema Wakiongozwa Na Francis Garatwa,Akituhumiwa Kumfanyia Kampeni Nyalandu
Mama anataka kuchomoa Ventilator
Mbowe anamtaka Nyalandu, vijana wanamtaka LissuKama Ni kweli Ni jambo baya.Viongozi Wa chadema tendeni haki kwa wagombea wote, kila MTU apewe haki saw a.kemeeni vitendo vya kupandikiza chuki, tarajio letu wote mtoke pamoja muwe timu moja...
Ila mashabiki wa ccm mnahangaika kweli na chadema*Kutoka Mlimani City*
Mbunge Wa Mlimba Susan Kiwanga Anusulika Kipigo Kutoka Kwa Vijana Wa Chadema Wakiongozwa Na Francis Garatwa,Akituhumiwa Kumfanyia Kampeni Nyalandu
Mama anataka kuchomoa Ventilator
Huyu ni yule aliyekosa ubunge na udiwani KilomberoI am BAK.....if you don’t have source of what you’re posting here then it’s FAKE.
BAK, mbona hizo habari zinadhitishwa ma watu wa usalaamaI am BAK.....if you don’t have source of what you’re posting here then it’s FAKE.
Who are you to conclude and to nullify the news
BAK, mbona hizo habari zinadhitishwa ma watu wa usalaama
Yupo na mama yako mdogoHivi Lisu yuko kwenye vikao au karantini?
Jitahidi kuwa na tabia sahihi, na hebu yote uyatendayo, kwamba yanaonekana na kutambuliwa na macho ya kibinadamu au la, yatendwe kwa kusudi moja tu la utukufu wa Mungu, kwa sababu wewe ni wa Mungu naye amekukomboa kwa bei ya uhai wake. Uwe mwaminifu katika yaliyo madogo na pia kwa yaliyo makubwa; jifunze kuongea ukweli, kutenda lililo kweli kila wakati.*Kutoka Mlimani City*
Mbunge Wa Mlimba Susan Kiwanga Anusulika Kipigo Kutoka Kwa Vijana Wa Chadema Wakiongozwa Na Francis Garatwa,Akituhumiwa Kumfanyia Kampeni Nyalandu
Mama anataka kuchomoa Ventilator