Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
POLICE na Magereza wote ni Wizara Moja, inasemekana huko kunako Prisons wamesafirishwa toka ifunda hadi Iringa mjini kituo cha POLICE. Prisons walikuwa safarini kwenda Mbeya wakitokea Kagera
Chanzo cha sakata ni mwendokasi wa dereva wa Prisons akiwa speed 90 badala ya speed 85.
Pamoja na kuombwa compromise RTO amegoma.
Mla nyama hula hata wa kwako na wa kwao .
Mwenye video clip aweke kisha moderators mtaondoa neno tetesi
Pang Fung Mi
Chanzo cha sakata ni mwendokasi wa dereva wa Prisons akiwa speed 90 badala ya speed 85.
Pamoja na kuombwa compromise RTO amegoma.
Mla nyama hula hata wa kwako na wa kwao .
Mwenye video clip aweke kisha moderators mtaondoa neno tetesi
Pang Fung Mi