Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni CCM, angekamatwa Mbowe yangeshangilia.Kudhalilishwa ni kuambiwa ufuate sheria?Kweli tumefika mbali tumekuwa watu wa kulalamika kwenye kila jambo.
RTO amedhalisha taasisi/ idara ya Magereza
Kaa kimya hujui kituHii lugha aliyotumia huyu ofisa wa Magereza ni utovu mkubwa wa adabu.Hakuna aliye juu ya sheria.Kuwa wizara moja hakulalalishi kuvunja shetia.
Jifunze kuandika kabla ya kujaribu kujibu hoja."amedhalisha" ni kilugha?RTO amedhalisha taasisi/ idara ya Magereza