T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Dec 8, 2024 #22 Hii lugha aliyotumia huyu ofisa wa Magereza ni utovu mkubwa wa adabu.Hakuna aliye juu ya sheria.Kuwa wizara moja hakulalalishi kuvunja shetia.
Hii lugha aliyotumia huyu ofisa wa Magereza ni utovu mkubwa wa adabu.Hakuna aliye juu ya sheria.Kuwa wizara moja hakulalalishi kuvunja shetia.
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Dec 8, 2024 #23 Tui said: Kudhalilishwa ni kuambiwa ufuate sheria?Kweli tumefika mbali tumekuwa watu wa kulalamika kwenye kila jambo. Click to expand... Hao ni CCM, angekamatwa Mbowe yangeshangilia.
Tui said: Kudhalilishwa ni kuambiwa ufuate sheria?Kweli tumefika mbali tumekuwa watu wa kulalamika kwenye kila jambo. Click to expand... Hao ni CCM, angekamatwa Mbowe yangeshangilia.
Pang Fung Mi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 6,653 Reaction score 13,919 Dec 8, 2024 Thread starter #24 Mtumishi wa Bwana89 said: View attachment 3171958 Click to expand... RTO amedhalisha taasisi/ idara ya Magereza
Mtumishi wa Bwana89 said: View attachment 3171958 Click to expand... RTO amedhalisha taasisi/ idara ya Magereza
Pang Fung Mi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 6,653 Reaction score 13,919 Dec 8, 2024 Thread starter #25 Tui said: Hii lugha aliyotumia huyu ofisa wa Magereza ni utovu mkubwa wa adabu.Hakuna aliye juu ya sheria.Kuwa wizara moja hakulalalishi kuvunja shetia. Click to expand... Kaa kimya hujui kitu
Tui said: Hii lugha aliyotumia huyu ofisa wa Magereza ni utovu mkubwa wa adabu.Hakuna aliye juu ya sheria.Kuwa wizara moja hakulalalishi kuvunja shetia. Click to expand... Kaa kimya hujui kitu
T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Dec 8, 2024 #26 Pang Fung Mi said: RTO amedhalisha taasisi/ idara ya Magereza Click to expand... Jifunze kuandika kabla ya kujaribu kujibu hoja."amedhalisha" ni kilugha?
Pang Fung Mi said: RTO amedhalisha taasisi/ idara ya Magereza Click to expand... Jifunze kuandika kabla ya kujaribu kujibu hoja."amedhalisha" ni kilugha?
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 12,112 Reaction score 15,060 Dec 8, 2024 #27 Hao prison lazima Walimisbehave.
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 12,112 Reaction score 15,060 Dec 8, 2024 #28 Huwezi ukarudishwa toka Ifunda hadi Mjini bila kumisbahave
BabuFey JF-Expert Member Joined Feb 13, 2023 Posts 1,659 Reaction score 2,913 Dec 8, 2024 #29 Yaelekea hao Magereza hawakuwa na hela ya kuhonga na siku RTO akifika Magereza kwa rushwa ataipata fresh
Yaelekea hao Magereza hawakuwa na hela ya kuhonga na siku RTO akifika Magereza kwa rushwa ataipata fresh