hata kama ni za kawaida.mbona wewe ulishndwa kuzipata,ukaishia kupelekwa huko muccobs chuo ambacho hadhi yake ni sawa na secondary ya kata?
sijasoma mucobs,, ila napenda kutok haki ,,,hiki chuo ambacho kipo kama sec mwaka jana kwa interview za kazi wizara ya fedha wameingiza vichwa viwili vya uhakiki mali,,njilo kimoja udsm hata m1 kati ya wa5.....sasa sijajua huo ubora wa chuo unakusuport nini ikiwa wewe utashindwa kuutetea, na nyie mnaosema nje tunawasubili,,,hatutaki jina la chuo ,tunataka ufanisi,,tena ukute wengine mko huko kwa sababu tu wazazi wenu wana pesa au rushwa sana mkapata ufadhili,,,,kama ni matokeo ya kwenda huko hata sisi tunayo ,siyo kuanza kuleteana tabia za kutambiana hapa,,,tuonyeshe umefanya nini siyo umesoma wapi,,,na kwa ufupi wengi humu wana elimu nzuri tu kwenye vyuo vizuri tu tena vya umma ambavyo ukifauru vibaya hata hawakuchukui,,,,,,acheni tambo wadau