Tetesi : Uvaaji na uingizaji mawig nchini kupigwa marufuku ifikapo 2019

Yaan kwa mada kama izi na watu watanzania wanatokea kukubaliana na ujinga huu ndo nazidi kupata wasiwasi na akili na utu wa mtanzania, yaan watanzania ata mnyama nyumbu anawazidi by far acheni kuishi maisha ya bendera nyie, mlipewa akili bure mzitumie basi yaan unakuta limwanaume linashabikia hiii ujinga kama hautaki wanawake wavae izo nywele kaongee na mke wako ama demu wako tu, mamaako au dadaako wenyewe watakuona kaka sasa unakuwa na tabia za kishoga ata asee, pambaneni na hali zenu huu udikteta pelekeni vyumbani kwenu na muwache watoto wazur wafanye wanavyotaka kwa uhuru wao, umaskini unawatea roho mbaya sana watanzania pambaneni na hali zenu
 
Mambo mabaya huwa yanaanza taratibu kama rumours baadae yanakuwa kweli...wakitoka kwenye mawigi wataingia kwenye makalio fake,hapa utasikia "hakuna ruhusa ya kuwa na makalio fake" hapa ndipo makalio yatakapoongezeka thamani wallah!
 
Mkuu umekuja na hisia kama zote[emoji23][emoji23]
 
Dah... mwingine anavaa wigi ...na ukimwambia ana nywele nzuri...anajibu ahsante....basi huwa naingia bafuni...nachekaaa..Kisha nanawa uso...narudi..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pole kwa yaliyokukuta broh. It seems you are super stressed
 
Naona sasa watu asilia taratiiibu tutawapata wakizuia nywele za marehemu najua vichwani wataanza kuoga pia kucha bandia zipigwe ban na vile vya kuwafwanya wawe weupe navyo vitapendeza zaid [emoji16] [emoji16] [emoji16] Kama Hawajarud Beijing kwa Women summit.
 
Japo sivai mawig lakini nimependa hii comment yako kila mtu aishi atakavyo,yani sijui mwingine akivaa tena hakuhusu inamuuma nini au yakikatazwa atapata faida gani.
 
Wapige ban tu tunakoelekea African woman orginal hataekeweka. Mkorogo plus wig wanatuchanganya sana huu nao wanawake ni wizi wa kuaminiwa maana unajua ni mweupe kumbe amekudanganya nadhani mmanga kumbe wapi. Ipo siku nyie wanawake tutawasimamisha mahakamani kwa wizi wa kuamini ma kudanganya
 
itakua vizuri sana, ile misemo ya naomba hela nikanunue nywele bunda kadhaa inachoshaga sometimes, ... wakizuia itakua hivi " naomba hela nikasuke Kilimanjaro/ twende kilioni/ mabutu" na hapo haiwezekani kuzidi elfu 5.
 
Ehee sasa sisi tulio na vichwa vya mapembe kama yote tutafanyeje?

Wasitufanyie hivyo
 
Watatengeneza kwa kuanzisha viwanda bubu...na watapewa support sababu si tunataka Tanzanian ya viwanda .....hapo bado kazi sio nyepesi labda nisijue wanazuiaje mawigi kupatikana tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…