Tetesi : Uvaaji na uingizaji mawig nchini kupigwa marufuku ifikapo 2019

Tetesi : Uvaaji na uingizaji mawig nchini kupigwa marufuku ifikapo 2019

Kwahiyo lengo la huo muswada ni kutaka wanawake wawe wanatisha,mi naona wasiulete...
 
Mwanaume tafuta pesa acha mambo ya wanawake khaaa, aibu walahi
Mtu mzima ovyo kabisa walahi
 
Miwanaume na akili zenu kweli mnachangia hili jiuzi la kijinga?
SHAME ON YOU ALL WALAHI
 
Dah... mwingine anavaa wigi ...na ukimwambia ana nywele nzuri...anajibu ahsante....basi huwa naingia bafuni...nachekaaa..Kisha nanawa uso...narudi..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan kwa mada kama izi na watu watanzania wanatokea kukubaliana na ujinga huu ndo nazidi kupata wasiwasi na akili na utu wa mtanzania, yaan watanzania ata mnyama nyumbu anawazidi by far acheni kuishi maisha ya bendera nyie, mlipewa akili bure mzitumie basi yaan unakuta limwanaume linashabikia hiii ujinga kama hautaki wanawake wavae izo nywele kaongee na mke wako ama demu wako tu, mamaako au dadaako wenyewe watakuona kaka sasa unakuwa na tabia za kishoga ata asee, pambaneni na hali zenu huu udikteta pelekeni vyumbani kwenu na muwache watoto wazur wafanye wanavyotaka kwa uhuru wao, umaskini unawatea roho mbaya sana watanzania pambaneni na hali zenu
Mkuu umetema nyongo si mchezo
 
Japo sivai mawig lakini nimependa hii comment yako kila mtu aishi atakavyo,yani sijui mwingine akivaa tena hakuhusu inamuuma nini au yakikatazwa atapata faida gani.
Kila mtu akiishi atakavyo kutakuwa na maisha tena mkuu? Si itakuwa vurugu kila sehemu
 
Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia.

Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi mgongoni, au Pili anang'aa usoni alafu viwiko kama aliegemea vumbi la mkaa au oil chafu.

Huu mwaka ndio mwisho wa hayo mambo.


MSISEME HAMKUAMBIWA

Analyse
Mnafurahia biashara kufa?
Sasa wauza mawigi wataenda kuwa mzigo wa nani?

Hivi vitu vingine wala sio matatizo yetu wananchi tunaoziweka serikali madarakani.

Matatizo yetu ni hospital, elimu bora na maji safi na salama
 
Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia.

Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi mgongoni, au Pili anang'aa usoni alafu viwiko kama aliegemea vumbi la mkaa au oil chafu.

Huu mwaka ndio mwisho wa hayo mambo.


MSISEME HAMKUAMBIWA

Analyse
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom