Tetesi: Wanaume wengi hatupendi kutumia kondomu

Tetesi: Wanaume wengi hatupendi kutumia kondomu

carnage21

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
591
Reaction score
1,382
Kwenye #SupaBreakfast ya @EastAfricaRadio Baada ya Waziri wa Afya @ummymwalimu kutaja mambo matatu yatakayo maliza ukimwi, Babu @david.gumbo.5 ametoa maoni yake yanayochangia ugonjwa huo kuenea.

"Nimefanya research ndogo asilimia kubwa ya sisi wanaume hatupendi kutumia mipira (kondomu) mwanamke anaweza akakulazimisha lakini mwanaume akakataa kabisa kwamba mimi situmii na hilo ndilo tatizo na watu wanaoongoza kupima ukimwi hospitalini wanawake wanaongoza, wanaume wanaogopa kwa sababu tunajua matendo yao"

"Unaingia na mwanamke sehemu anauliza kondomu iko wapi, unasema mimi sina kondomu, tutumie kondomu ya nini, tuna shida kubwa kwenye matumizi ya kondomu tukubali tukatae," - Babu @david.gumbo.5

MY TAKE: If una mashaka kuwa kondomu zina side effects its better to abstain from sex au make sure mnapima wewe na mwenza wako kabla hamjashiriki tendo la ndoa.

#end the dread.......stop the spread.

#sex is funny..........don't let it kill you.

#AIDS is like cheap lugagge it stays with you forever.

#Womens :Be beautiful! Be smart! Be stylish! But, protect yourself from HIV.
 
"Unaingia na mwanamke sehemu anauliza kondomu iko wapi, unasema mimi sina kondomu, tutumie kondomu ya nini, tuna shida kubwa kwenye matumizi ya kondomu tukubali tukatae," - Babu @david.gumbo.5
Nilimsikia Mmama mmoja akisema alitumia condom sinza ila alikipata cha moto, alipanda daladala Mawasiliano aliwashwa na kujikuna mpaka mbagala non stop, muda huo alibadili daladala kama mara tatu ili ajifiche mahali ajikune, anafika toangoma ameshachubuka amekuwa mwekundu
 
Nilimsikia Mmama mmoja akisema alitumia condom sinza ila alikipata cha moto, alipanda daladala Mawasiliano aliwashwa na kujikuna mpaka mbagala non stop, muda huo alibadili daladala kama mara tatu ili ajifiche mahali ajikune, anafika toangoma ameshachubuka amekuwa mwekundu
Kama humuamini mwenza wako its better not to have sex.
 
Kwenye #SupaBreakfast ya @EastAfricaRadio Baada ya Waziri wa Afya @ummymwalimu kutaja mambo matatu yatakayo maliza ukimwi, Babu @david.gumbo.5 ametoa maoni yake yanayochangia ugonjwa huo kuenea.

"Nimefanya research ndogo asilimia kubwa ya sisi wanaume hatupendi kutumia mipira (kondomu) mwanamke anaweza akakulazimisha lakini mwanaume akakataa kabisa kwamba mimi situmii na hilo ndilo tatizo na watu wanaoongoza kupima ukimwi hospitalini wanawake wanaongoza, wanaume wanaogopa kwa sababu tunajua matendo yao"

"Unaingia na mwanamke sehemu anauliza kondomu iko wapi, unasema mimi sina kondomu, tutumie kondomu ya nini, tuna shida kubwa kwenye matumizi ya kondomu tukubali tukatae," - Babu @david.gumbo.5

MY TAKE: If una mashaka kuwa kondomu zina side effects its better to abstain from sex au make sure mnapima wewe na mwenza wako kabla hamjashiriki tendo la ndoa.

#end the dread.......stop the spread.

#sex is funny..........don't let it kill you.

#AIDS is like cheap lugagge it stays with you forever.

#Womens :Be beautiful! Be smart! Be stylish! But, protect yourself from HIV.
we ni mwanamke au dume, km ni dume basi shoga.
 
Back
Top Bottom