Duuuuuuu................. ama kweli hii ni TETESI ya kutishaTETESI Kutoka kwa walinzi wa jamhuri hii ya muungano..waliochoka na maovu ya mkulu (jk) ni kwamba jamaa ameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wake..ambao inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi umepangwa kutangazwa usiku na asubuhi wanamalizia biashara pale uwanja wa taifa.
Kwa walio ndani zaidi wanaweza kutuchambulia zaidi jamani
ni kwamba jamaa wameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wa presidaa wa tz ajae...ambapo inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi umepangwa kutangazwa usiku na asubuhi inaendelezwa ndani ya wanja la taifa.
Hivi kuna ajuaye email ya OBAMA?..nataka nimwambie kitu juu ya hili!...Ni kwamba jamaa wameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wa presidaa wa tz ajae...ambapo inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi umepangwa kutangazwa usiku na asubuhi inaendelezwa ndani ya wanja la taifa.
Kwa wale mnaotaka kumwaga damu anzeni za wake zenu,waume zenu,watoto wenu,wazazi wenu ndio mwende kwa watanzania wengine!
Ni kwamba jamaa wameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wa presidaa wa tz ajae...ambapo inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi umepangwa kutangazwa usiku na asubuhi inaendelezwa ndani ya wanja la taifa.
Kwa wale mnaotaka kumwaga damu anzeni za wake zenu,waume zenu,watoto wenu,wazazi wenu ndio mwende kwa watanzania wengine!
Kwa wale mnaotaka kumwaga damu anzeni za wake zenu,waume zenu,watoto wenu,wazazi wenu ndio mwende kwa watanzania wengine!
Duh! Haya makubwa. Ina maana jamaa anajiandaa kutawala kwa mabavu wakati wapiga kura wengi zaidi watamkataa Oktoba 31?
Kuna wakati mwingine mimi huwa nashangaa kweli. Hivi kweli nyie watu wa CHADEMA seriously mnadhani kuwa SLAA atashinda? JK atashinda kwa kati ya ASILIMIA 77 NA 87 ya kura zitakazopigwa. Huu ndio ukweli. Maneno ya mitaani tuachane nayo. JK atashinda na CCM kwa ujumla itashinda sio kwa wizi wa kura bali kwa kukubaliwa na wananchi. SLAA atapata below 20% akifuatiwa na Prof. Lipumba. Sasa nyie wenye ndoto za SLAA kutwaa urais kaeni hivyo hivyo na muendelee na ndoto hizo. Mabadiliko hayaji kwa porojo na matumaini. Mabadiliko yatakuja kwa upinzani kufanya kazi na upinzani wenyewe ubadilike katika mbinu na mikakati. Mkiendelea na kauli za kumwaga damu, IKULU kamwe hamtaiona. Mkiendelea kuvaa magwanda yanu ya khaki na yenye sura ya kijeshi lile jengo jeupe mtalisikia kwenye bomba mpaka milelel.
Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.
Waoga hawatazikwa kwenye makaburi ya mashujaa.
Uoga na hofu yako havikusaidii kitu. Hata hivyo, hautaishi milele. LAZIMA utakufa.
Komboa nchi yako. Acha kujikojolea kwa vitisho vya JWTZ