akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Ni kwamba jamaa wameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wa presidaa wa tz ajae...ambapo inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi umepangwa kutangazwa usiku na asubuhi inaendelezwa ndani ya wanja la taifa.
Trust me, mpaka tarehe 5 asubuhi tume (NEC) watakuwa hawajatangaza mshindi. Put this on record.