Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

Aisee kitaa kuna watoto wazuri Sana sema basi tu hao wanaosifiwa humu sababu ni mastaa tu ila hawana lolote
Dada usicheke.. [emoji23][emoji23]

Warembo wapo kibao kuwazidi hawa mastaa..uceleb ndo unaongeza value tu,,tofauti na hapo ni wanawake wa kawaida tu.
Sure kabisa aisee litaa
 
Tako mbona analo, mnataka mpaka awe kama Sanchi? Hiyo kazeze ndio nini?
Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi

Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze

Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY

enzi hizo diamond yuko la 7 B
 
Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi

Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze

Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY

enzi hizo diamond yuko la 7 B
Jose Mtambo huyo.
 
Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi

Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze

Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY

enzi hizo diamond yuko la 7 B
Aisee kumbe
 
Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi

Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze

Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY

enzi hizo diamond yuko la 7 B
OCG sio Gangwe
 
Back
Top Bottom