Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji23][emoji23][emoji23] ya kweli haya?Kipindi ye anaanza mambo Mimi hata kutongozwa sijaanza!!na ndo business yake lazima awe fundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] ya kweli haya?Kipindi ye anaanza mambo Mimi hata kutongozwa sijaanza!!na ndo business yake lazima awe fundi
Nakubaliana na wewe hapo kwa Uwoya
😁 baharia nakucheki tuKwanza mpaka najihisi napenda bad boys. Haina maana kabisa.
Hata mtu akiwa mpole tukifika huko ajiachie
Tako mbona analo, mnataka mpaka awe kama Sanchi? Hiyo kazeze ndio nini?Uwoya yupo vizuri amekosa "TAKO" kidogo na kasoro nyingine kwamba "NI KAZEZE NI KAZEZE".
Sure kabisa aisee litaaDada usicheke.. [emoji23][emoji23]
Warembo wapo kibao kuwazidi hawa mastaa..uceleb ndo unaongeza value tu,,tofauti na hapo ni wanawake wa kawaida tu.
Labda kichwa nazi[emoji23][emoji23][emoji23] kichwa chake kipoje kwani
Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunziTako mbona analo, mnataka mpaka awe kama Sanchi? Hiyo kazeze ndio nini?
Jose Mtambo huyo.Gonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi
Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze
Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY
enzi hizo diamond yuko la 7 B
Aisee kumbeGonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi
Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze
Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY
enzi hizo diamond yuko la 7 B
Jose Mtambo huyo.
1. Lulu
2. Irene
3. Batuli
Walishaachana kumbe!Nilitaka kuuliza hili
Hapana anaitwa John Mfinanga au OCGJose Mtambo huyo.
OCG sio GangweGonjwa hili limezua kizaa zaa mzozo gumzo ! Gumzo kwa mabronzo masista duu wazazi walimu na wanafunzi
Yaani limezua kasheshe kazeze ni kazeze
Kitambo Sana bongo fleva ya kitambo hio nahisi walikuwa SOLID GROUND FAMILY
enzi hizo diamond yuko la 7 B
Yap ndio mwenyewe anaitwa OCGSio yule jamaa aliyeimba Akwelina
Yupo kama Mhindi labda kama anavaa kigodoro siku hiziTako mbona analo, mnataka mpaka awe kama Sanchi? Hiyo kazeze ndio nini?
Dah ngoja nmjaribu kesho kwa dola efu nane atakataa [emoji28]
Nakubaliana na wewe hapo kwa Uwoya
[emoji23][emoji23][emoji23] kichwa chake kipoje kwani
[emoji16] baharia nakucheki tu