Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
Viva my schools ilboru na kibaha.naona wadogo zetu bado mnatuwakilisha vyema
:A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41: congrats
 
nipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza
ulivosema haya hapa nikajua sasa nikifungua ntakuta link inayoonesha hayo matokea..kumbe ni yale ya jumlajumla tu!...sasa wanasema yatakuwa hewani saa ngapi? wazazi sasa tuko roho juu!
 
nchi hii kila kitu ukiritimba, sasa si wayaweke online wazazi tujipange
 
ulivosema haya hapa nikajua sasa nikifungua ntakuta link inayoonesha hayo matokea..kumbe ni yale ya jumlajumla tu!...sasa wanasema yatakuwa hewani saa ngapi? wazazi sasa tuko roho juu!

yaani roho iko juu mm hapa tokea asbh tumbo joto naharisha tu hata kazi ya watu sifanyi, tupe more updates jamani yakitoka tu tujulishe. na je form five wanaingia mwezi wa tatu au?
 
Nivyema kwel mkafanya km ndg yngu alvyosema,make matokeo yatakapokuwa on itakuwa ni vurugu!
 
machaliiiiiiiiiiiiiiiii wangu wa mj ni vipi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom